goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,664
- 993
Hamjambo.
Goodfool nimerudi tena.
Goodfool ,mim mi mwajiriwa wa serikali idara ya elimu kama mwalimu. Nimekua nikipenda mada mbalimbali na kila kitu kwangu ni sawa katika kujifunza thats why I called myself a Goodfool.
Kwa kipindi kirefu, nime kuwa na shauku ya kuacha kazi ninayofanya sasa,
Toka niajiriwe mwaka 2012
Miezi sita tu nikawa na shauku hii kwa mawazo yanayonijia kama haya:
1. Niache kazi nipate muda mpana nivumbue jambo lolote litakafanya mchango wangu uonekane katika jamii.
2. Niache kazi, nibobee katika kilimo na ufugaji au tuseme ujasiria mali.
3. Niache kazi nisomee mambo ya mazingira na wanyama (wild life) , niaNzishe campaign ,nijitolee katika taifa na jamii
4. Niache kazi nifanye kilichomo kwenye shauku(B) ukiacha taaluma yangu.
5. Nifanye fursa nnazoziona hazitumiwi vjjn kama uokaji wa mikate, utengenezaji sabuni , ufugaji sungura, pig, bata, punda n.k
kuna mda mawazo haya yananiteka sana.
Si kama siridhiki na kipato changu. Ni kama nahisi nabanwa na duties za serikali, mda mwingine mpaka nakosana na wakuu wangu katika kazi.
Mnaweza sema labda vyuma vimekaza, ila mbali na gvt salary, nina ki-pharmacy kijijini, duka la mahtaj ya nyumbani, ninalima kidogo pamba na choroko.
Na hata natamani kumiliki small scale sisal plantation.
labda mnaweza sema vipato kidogo vya nje binanipa kibri , hapana, ila ninashauku ya kuwa mkubwa mwenye mafanikio zaidi (sio tajiri no)
Ninapoanza kufikiria jinsi ninavyotaman kuwa mtu huru huwa nakosa usingizi na ninalala masaa 2!, HUKU YALIYOBAKI NIKIKESHA KWENYE MEDIA KUSOMA MAKALA MBALIMBAL ZA UVUMBUZI, UJASIRIA MALI, KILIMO, UFUGAJI, NAKESHA YOUTUBE , JF.
LEO nimeona alichofanya SUMRY huko Rukwa, nimekuwa inspired vibaya.
Napenda kuwasikiliza akina Moe, Eric Shigongo billie get, mark zuckerbag, hoja za nmna ya kufanikiwa katika mambo mbalimbl, na kusoma m,akala zenu hapa jf zenye muelekeo huo. (Japo zingine pia humu nasoma)
Navutiwa na watu waliochukua m@muzi magumu katika maisha, mchana na usiku nawaza kugundua kitu kitakacho irahisishia jamii maisha.
Nahisi kazi (ajira) inanipa uvivu fulani wa kimawazo(kifikra)
MAMBO YANAYONIWIA VIGUMU KUACHA KAZI.
1. Katika familia mimi na baba yangu pekee ndo w@jiriwa wa serikali, kaka ni wafanyabiashara wadogo huku wadogo zangu wakiwa benchi mpaka sasa, ajira. hivi uamuzi wangu watauchukuliaje?
2. Mama yangu ndo kabisa hataki kusikia anasema shetani ananifatilia, nimshike yesu.
3. Ukoo wote waajiriwa serikalini ni wachache -12), na jinsi ndugu wanavyopenda kunisihi sihi ("usichezee kazi")
4. Hali ilivyo alafu ni -declare kuacha kazi, ajira ngumu, si wataniona mwehu? Kama ndoa nataman kutoka wengine wanataman kuingia .
Natamani kuwa independent kufanya yaliyo katika shauku yangu ya moyoni.
Sijatawaliwa na woga ila napata wakti mgumu kutokana na nilivyoeleza.
Ruksa kunirekebisha/
Wasalaaam, Goodfool.
Goodfool nimerudi tena.
Goodfool ,mim mi mwajiriwa wa serikali idara ya elimu kama mwalimu. Nimekua nikipenda mada mbalimbali na kila kitu kwangu ni sawa katika kujifunza thats why I called myself a Goodfool.
Kwa kipindi kirefu, nime kuwa na shauku ya kuacha kazi ninayofanya sasa,
Toka niajiriwe mwaka 2012
Miezi sita tu nikawa na shauku hii kwa mawazo yanayonijia kama haya:
1. Niache kazi nipate muda mpana nivumbue jambo lolote litakafanya mchango wangu uonekane katika jamii.
2. Niache kazi, nibobee katika kilimo na ufugaji au tuseme ujasiria mali.
3. Niache kazi nisomee mambo ya mazingira na wanyama (wild life) , niaNzishe campaign ,nijitolee katika taifa na jamii
4. Niache kazi nifanye kilichomo kwenye shauku(B) ukiacha taaluma yangu.
5. Nifanye fursa nnazoziona hazitumiwi vjjn kama uokaji wa mikate, utengenezaji sabuni , ufugaji sungura, pig, bata, punda n.k
kuna mda mawazo haya yananiteka sana.
Si kama siridhiki na kipato changu. Ni kama nahisi nabanwa na duties za serikali, mda mwingine mpaka nakosana na wakuu wangu katika kazi.
Mnaweza sema labda vyuma vimekaza, ila mbali na gvt salary, nina ki-pharmacy kijijini, duka la mahtaj ya nyumbani, ninalima kidogo pamba na choroko.
Na hata natamani kumiliki small scale sisal plantation.
labda mnaweza sema vipato kidogo vya nje binanipa kibri , hapana, ila ninashauku ya kuwa mkubwa mwenye mafanikio zaidi (sio tajiri no)
Ninapoanza kufikiria jinsi ninavyotaman kuwa mtu huru huwa nakosa usingizi na ninalala masaa 2!, HUKU YALIYOBAKI NIKIKESHA KWENYE MEDIA KUSOMA MAKALA MBALIMBAL ZA UVUMBUZI, UJASIRIA MALI, KILIMO, UFUGAJI, NAKESHA YOUTUBE , JF.
LEO nimeona alichofanya SUMRY huko Rukwa, nimekuwa inspired vibaya.
Napenda kuwasikiliza akina Moe, Eric Shigongo billie get, mark zuckerbag, hoja za nmna ya kufanikiwa katika mambo mbalimbl, na kusoma m,akala zenu hapa jf zenye muelekeo huo. (Japo zingine pia humu nasoma)
Navutiwa na watu waliochukua m@muzi magumu katika maisha, mchana na usiku nawaza kugundua kitu kitakacho irahisishia jamii maisha.
Nahisi kazi (ajira) inanipa uvivu fulani wa kimawazo(kifikra)
MAMBO YANAYONIWIA VIGUMU KUACHA KAZI.
1. Katika familia mimi na baba yangu pekee ndo w@jiriwa wa serikali, kaka ni wafanyabiashara wadogo huku wadogo zangu wakiwa benchi mpaka sasa, ajira. hivi uamuzi wangu watauchukuliaje?
2. Mama yangu ndo kabisa hataki kusikia anasema shetani ananifatilia, nimshike yesu.
3. Ukoo wote waajiriwa serikalini ni wachache -12), na jinsi ndugu wanavyopenda kunisihi sihi ("usichezee kazi")
4. Hali ilivyo alafu ni -declare kuacha kazi, ajira ngumu, si wataniona mwehu? Kama ndoa nataman kutoka wengine wanataman kuingia .
Natamani kuwa independent kufanya yaliyo katika shauku yangu ya moyoni.
Sijatawaliwa na woga ila napata wakti mgumu kutokana na nilivyoeleza.
Ruksa kunirekebisha/
Wasalaaam, Goodfool.