Recent content by Trouserman

  1. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Mimi niko hapa kukuunga mkono.
  2. Trouserman

    Kitoto cha 2007 kimenitumia kimemo nikivishe pete!

    Hata nami nimeona kwamba kuna vitu kaficha
  3. Trouserman

    Iran wamejitafutia matatizo

    Umeelezea kwanamna mtu anaelewa bila kutumia nguvu
  4. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Yoyote tu kikubwa hawee sahihi
  5. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Unauhakika huyu dadayako huku Tabora anazo hizo sifa? Mbona unanilazimisha kumuoa?pia sitaki kuoa kwenyee Familia yenu,,akili zimeisha kuliko divai ya harusi ya kana!.
  6. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    HAO ni mamoderators mimi niliandika natafuta Mama mchungaji nimeshangaa kuandikiwa mke wa kweli,,ila siyo mbaya ingawa siyo mantiki yangu
  7. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    🤣🤣 mimi ni andu
  8. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Umechangia vizuri hakika una akili timamu barikiwa
  9. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Anatakiwa kujua mtandao ni jumuia siyo sawa kuikosea jumuia kwa makosa ya watu wachachee ,,jamii forum kuna maaskofu kuna usalama,jeshi la taifa,viongozi wa chama wachungaji kuna mashekhe ,kuna maustaz ,maustazati, mamufti na kuna wasioamini Mungu, ndiyo maana kuna majukwaa...
  10. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Asantee wewe siyo kama yule ponjoro Kariakoo
  11. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Sina uhakika 🤣🤣🤣🤣 Asantee ushauri wako ni mzuriii sana serious but Very Fun
  12. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Perfect
  13. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

    Wewe wasema
  14. Trouserman

    Natafuta mke wa kweli

Back
Top Bottom