Anatakiwa kujua mtandao ni jumuia siyo sawa kuikosea jumuia kwa makosa ya watu wachachee ,,jamii forum kuna maaskofu kuna usalama,jeshi la taifa,viongozi wa chama wachungaji kuna mashekhe ,kuna maustaz ,maustazati, mamufti na kuna wasioamini Mungu, ndiyo maana kuna majukwaa...