Jamani ila ndugu zangu wahaya wanajisikia sana, Wengi hawaampi mwanamke nafasi kuchangia hata masuala ya mipango ya familia wenyewe wanajua kila kitu. Mimi mhaya lakini siwish kuolewa nao!
Mi naona hapo humpendi huyo mdada ndio maana inakuchukua muda kumjibu! Ungekuwa unampenda na unaogopa kumpoteza ungemjibu fasta! Huo unaitwa wivu ambapo ni sehemu ya mapenzi ndio kauliza hivyo jamani tuwajue wenzetu then tuwapende na tabia zao!
Asante sana, tuwe makini gharama lazima ziwepo tena sio ndogo nimeshawahi kumfanyia mtu costing ya kufuga kuku mia mbili lakini yeye ananunua kifaranga cha mwenzi mmoja kwa sh. 3000 ambayo ni laki 3, Gharama kwa mwenzi sichini ya laki 1 na nusu,ambapo wanaishi miezi mitano ambapo ni laki 7 na...
Chochote kile unachoamua kukifanya ukikifanya kwa makini lazima ufanikiwe so dedicate muda wako na akili cause sio rahisi sana kufuga kuku wengi wa kinyeji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.