Recent content by trixxa

  1. T

    Hii ni kwa wote mnaokwenda diploma 2017/2018

    hiv mpwapwa tc hakuna mwenye taarfa yeyote maana wapo kimya mno au mwenye joinng ya mpwapwa ani2mie.....Assist plz
  2. T

    Smartcard error kwa vingamuzi vya startimes

    kwasabb 2mevikuta wazaz wameshanunua.....ikawa hakuna namna
  3. T

    NACTE rekebisheni mfumo wenu wanafunzi tuweze kuomba vyuo

    duuh!!!wanajua ku2weka roho juu juu hawa raia
  4. T

    NACTE rekebisheni mfumo wenu wanafunzi tuweze kuomba vyuo

    hivi second batch wanatoa lin hawa washkaji zetu NACTE
  5. T

    Smartcard error kwa vingamuzi vya startimes

    t's done bro..,thanks sana
  6. T

    Smartcard error kwa vingamuzi vya startimes

    namba hazipatkani toka asubuh
  7. T

    Smartcard error kwa vingamuzi vya startimes

    Msaada kwa hili. Kitambo sijalipia kingamuzi so nilikua na enjoy TV 1 for free....leo nimelipia pesa lakini bado channel hazikamati inabaki kuandika smartcard error kwa screen!!!what's solution kwa hapo....
  8. T

    Kwa walioanza kuripoti chuo cha Mwl Nyerere Kigamboni tujadiliane hapa

    mwenye link ya wanafunz walochaguliwa hapo batch 1 ani2mie....natangulza salaam kwenyu
  9. T

    Nikisoma shule ya private kuna uwezekano wa kuja kupata mkopo?

    kam hutaki kona coner katka elim ya kipind hki.....kaza msuli tu utobolee kwa government
  10. T

    Wanaosoma diploma vyuo vya serikali wanaruhusiwa kuomba mkopo?

    Eti ni kweli hata kwa wanatarajia kusoma diploma katika vyuo vya serikali kama vile teaching college ni Ruksa kuomba mkopo....mawazo please!!!!
  11. T

    TCU: Uhakiki wa waombaji shahada ya awali ulikamilika Aug 30, yaitisha awamu ya pili kuanzia Octoba 4-10

    wanatafuta pesa hao!!!huwez kuambiwa uApply upya wakat impact ya Applcation ya mwanzo huijui......Tanzania had taasisi Zimeshalogwaa
  12. T

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    hv diploma ya computer and bussiness admnistration ina changamoto gan hapo kwa chuo?
Back
Top Bottom