T trixxa Member Jul 23, 2017 30 6 Oct 4, 2017 #1 Eti ni kweli hata kwa wanatarajia kusoma diploma katika vyuo vya serikali kama vile teaching college ni Ruksa kuomba mkopo....mawazo please!!!!
Eti ni kweli hata kwa wanatarajia kusoma diploma katika vyuo vya serikali kama vile teaching college ni Ruksa kuomba mkopo....mawazo please!!!!
U UDSM Alumni JF-Expert Member Jan 25, 2015 2,523 1,363 Oct 4, 2017 #3 Hapana utaliwa hela bure labda uombe hiyo ya standard charterd