Ww una tatu unalalamika wakati watu kibai na div2 Kali wamekosame wamegoma kunichagua diploma wakati nina div 3 kabtha wanadai sina div 3,hawa nacte jaman hiv hawana mawasiliano na necta nn???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hapo sasa sjajua nini katakacho tokeaWw una tatu unalalamika wakati watu kibai na div2 Kali wamekosa
Unaongeza mbona mm nmechagua vnneKwa aliyefanikiwa kuaply round ya pili ,mbona hakuna sehemu ya kuchagua chuo, wanaonyesha vyuo vilivyo na nafas lakin sehemu ya kuongeza hakuna ,msaada please
hivi second batch wanatoa lin hawa washkaji zetu NACTEJana mlisema mmefungua dirisha la wanafunzi waliokosa chuo waombe cha kushangaza mpaka leo wakiingia kwenye profile zao hakuna sehemu za kuedit ili waapply upya kozi zenye nafasi na muda unaenda huu ni wizi.
Pili, watu nakuta hali hii wanaamua kulipia upya wanakutana na kikwazo cha kuambia index no zao zimetumika hivyo pesa hiyo inapotea kwanini hamkutoa maelekezo jana kuwa kama umeshalipia huruhusiwi kulipia tena au mmekaa kimya ili mtuibie pesa hizo hakika jasho la masikini haliliwi taasisi kubwa kama hii kuwa wababaishaji ni hatari kwa taifa
duuh!!!wanajua ku2weka roho juu juu hawa raiaNa mimi sijajua wanatoa lini second selection maana hata nikitaka kuingia kwenye profile sehemu ya ku-log in inanileta server error.