Recent content by Trilo

  1. T

    Je, Polisi wakiua ni sawa?

    hicho ni kitu ambacho mtoa mada haelewi..anafikiri labda polisi waliwakuta wale majambazi kibarazani wanapiga story..haelewi kama kulikuwa na sintofaham
  2. T

    Je, Polisi wakiua ni sawa?

    asante mkuu, mpe shule kidogo mtoa mada kwann askari anapewa silaha, mazingira yapi atumie namna gani.
  3. T

    Je, Polisi wakiua ni sawa?

    kwanii raia hawezi akawa jambazi? au tuambie jambazi ni nani basi..tupe definition
  4. T

    Je, Polisi wakiua ni sawa?

    una hakika walinyanyua mikono juu? ulikuwepo eneo la tukio?
  5. T

    Je, Polisi wakiua ni sawa?

    mi nafikiri lazima kutakuwa na sheria inayomruhusu askari kuua kwenye mazingira fulani..ndio maana wanaoua makusudi au bahati mbaya wanashtakiwa..wataalam wa sheria watusaidie hapa tafadhali
  6. T

    Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

    umenena mkuu, mentor ni shahidi wa hicho ulichosema...anajua kupenda lakin!!!!!!!????
  7. T

    Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

    mentor huwa yanakukuta kweli nini? ushasaliti wangapi waliokuamini?
  8. T

    Baada ya kutendwa, uliweza kupenda tena kwa kiwango cha juu zaidi ya kile cha awali?

    mkuu usemacho ni kweli, nimefanyiwa maigizo miezi sita hadi nikajua ndoa imekaribia!! kumbe maigizo...baadaye anakuja kuniambia kuwa haiwezekani tena kuendelea na mahusiano..nikachoka
  9. T

    Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    mi natamani kutoka na yule kaka wa mastory...mentor!
  10. T

    Vodacom wanatumia hizi alama (########+#) Kutuma Ujumbe, Je inaruhusiwa?

    Hata mimi nimetumiwa.. Sasa anajificha halafu anaomba nafasi..??! Ndio nini sasa?
  11. T

    Polisi apigwa mapanga, SMG yanyakuliwa

    usemacho ni kweli..sera na mipango mibovu ya nchi inayopelekea mtu kufanya maamuzi ambayo hakuwahi kufikiria..askari wengi wameajiriwa sio kwakuwa wanaipenda kazi, ni matokeo ya kukosa kitu au kazi ya kufanya, matokeo yake anaenda kazini lakini akili haipo kazini..kwanini asiporwe silaha kirahisi?
  12. T

    Polisi apigwa mapanga, SMG yanyakuliwa

    umenena vema mkuu
  13. T

    Am so lonely

    hauko peke yako kwenye hiyo hali..tuko wengi, pole pole itaisha..jilazimishe kusahau.
Back
Top Bottom