hicho ni kitu ambacho mtoa mada haelewi..anafikiri labda polisi waliwakuta wale majambazi kibarazani wanapiga story..haelewi kama kulikuwa na sintofaham
mi nafikiri lazima kutakuwa na sheria inayomruhusu askari kuua kwenye mazingira fulani..ndio maana wanaoua makusudi au bahati mbaya wanashtakiwa..wataalam wa sheria watusaidie hapa tafadhali
mkuu usemacho ni kweli, nimefanyiwa maigizo miezi sita hadi nikajua ndoa imekaribia!! kumbe maigizo...baadaye anakuja kuniambia kuwa haiwezekani tena kuendelea na mahusiano..nikachoka
usemacho ni kweli..sera na mipango mibovu ya nchi inayopelekea mtu kufanya maamuzi ambayo hakuwahi kufikiria..askari wengi wameajiriwa sio kwakuwa wanaipenda kazi, ni matokeo ya kukosa kitu au kazi ya kufanya, matokeo yake anaenda kazini lakini akili haipo kazini..kwanini asiporwe silaha kirahisi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.