Recent content by trigger_

  1. trigger_

    Mimi yanga damu ila ukwel mchungu

    sasa ukweli mchungu ukwapi apo?
  2. trigger_

    PreGE2025 Nitampigia kura Rais Samia

    CCM tumewachoka na nyie eeeh
  3. trigger_

    Nabii GeoDavie: Biblia sio neno la Mungu bali ni maneno ya wanadamu

    mkisoma vizuri biblia Mwanzo 1 mstari 26-31 Mungu anafanya uumbaji anasema Mwanzo 1 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi Mwanzo 1:27...
  4. trigger_

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    zipo wanasubiri wa offload majira ya kiangazi apo kina casemiro, ericksen na dogo mainoo analeta tamaa wakimuuza wapate funds tetesi ni ederson wa atalanta
  5. trigger_

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    ndo scouts wa man u chaguo lao ilo dili la quenda kitambo tu walikua wanajua mchawi chelsea ila tunae dogo pia U18 anaitwa Bendito Mantato
  6. trigger_

    Binafsi nimeguswa na funga ya wakristo kipindi hiki cha kwaresma,Funga yenu haina kelele Wala majisifu

    kufunga ni swala la kiafya kabisa unaregenerate cells zako mwilini zaidi ya apo ni story tu za dini
  7. trigger_

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    wazungu wanatoka marekani wamekuja AFRICA bongo walitegemea tutaongea lugha gani?
  8. trigger_

    Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala

    mm apo tu ndo ntakua kauzu sicheki na wowote🤣
  9. trigger_

    VIDEO: Yanga wamewafuata Simba huko Bunju Mo Arena ili mechi ipigwe dabi ya Kariakoo

    gsm mabonye tu ila kuna tyrant mwenyewe apo nyuma ya pazia na hakuna mtu wa kumfanya kitu apa Bongo kwa wakati huu
  10. trigger_

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    yeye kushinda gym tu kufunga aaaah😂
  11. trigger_

    Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

    Give them bread and circuses, and they will never revolt.
Back
Top Bottom