Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na nmehitimu mwaka Jana chuo kikuu cha Dar es salaam Katika kozi ya industrial engineering.
Lengo la thread hii kuomba yeyote mwenye connection ya kazi aweze kunisaidia angalau niweze kumudu maisha.
Kwa sasa Niko Arusha.
Kwenye viwanda naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.