Na wewe unaamini kuwa Tanzania yote bara, visiwani na mikoa yake tuna vifaru 49 tu??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Force dogo amalize shule halafu pambana hata kwa kuhonga apate nafasi za vitengo vya ulinzi (jeshi, polisi, magereza etc) la sivyo peleka ufundi maalumu tena sio shule ni mtaani mfano gereji
1st kupiiga kokoto kwa mikono na kuchimba jiwe za kujengea [emoji846][emoji846][emoji846] (10 yrs old boy)
2nd kuwafanyia usafi wale mabro walikuwa wakiishi katika nyumba za kupanga huku wameajiriwa na status zao za maisha ikawa ngumu kwao kufanya zile kazi za zamu katika majumba yao. Pamoja na...
Nafasi inaachwa mita 1 kutoka katika jengo la makazi na boundary ya kiwanja ili kuzuia maji ya mvua yasimdondokee jirani.
Fence inajengwa kufuata mchoro wa halmashauri na kwa jinsi picha inavyoonyesha hapo huyo jirani yupo sahihi. Ila napata mashaka kama kweli ni kiwanja chako
Ndio nasema unaongelea kitu kwa madhania, issue ni kuwa nipo busy na professional job kwa sasa sitangazi biashara kuhusu mizigo ya watu walioagiza imefika muda tu na muhusika wa Tanzania alifanyiwa operation
Mtu kama wewe ndio mnarudisha maendeleo nyuma na mkizeeka mnakuwa wachawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.