Recent content by Trendz

  1. Trendz

    JamiiForums Tanzania Je, wajua neno Fitikalikiti ni kiingereza 'Physically Fit'

    “Wewe mtoto usinitafutie (MADA KESI)” hii nayo ni MURDER CASE [emoji846]
  2. Trendz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kutana na Mpenzi kichefuchefu wa namna hii?

    Serious na ndio tunakosa na baraka
  3. Trendz

    JamiiForums Tanzania Taja sifa za wateja wako zinazofurahisha

    “Bei ni 30,000 ila niandikie katika risiti 55,000 VAT yako niambie nikupe usipate hasara ya TRA” Hawa wazeee wa kupiga maboss wa kampuni [emoji23]
  4. Trendz

    JamiiForums Tanzania Nahitaji wajuzi kidogo kuhusu elimu ya majini na utajiri

    Utapewa jini la POPOBAWA usiku linakuletea hela ila hulali na boxa [emoji846]
  5. Trendz

    JamiiForums Tanzania Kusema eti ukikipenda kitu unachokifanya utafanikiwa yaani kitakutoa, ualimu haunipi mafanikio

    Dah ni Shangazi yangu [emoji30][emoji30][emoji30]
  6. Trendz

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni dhahiri sasa amelewa madaraka. Ni kweli kwamba hajui madhara ya kauli aliyotoa kuhusu kuivamia Kenya?

    Na wewe unaamini kuwa Tanzania yote bara, visiwani na mikoa yake tuna vifaru 49 tu?? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  7. Trendz

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, kijana wangu amepewa 'suspension' na bado mwezi mmoja ahitimu kidato cha nne

    Force dogo amalize shule halafu pambana hata kwa kuhonga apate nafasi za vitengo vya ulinzi (jeshi, polisi, magereza etc) la sivyo peleka ufundi maalumu tena sio shule ni mtaani mfano gereji
  8. Trendz

    JamiiForums Tanzania 𝗞𝗮𝘇𝗶 𝘆𝗮𝗸𝗼 𝘆𝗮 𝗸𝘄𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗻𝗶 𝗶𝗽𝗶? 𝗨𝗹𝗶𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗻𝗮 𝘂𝗺𝗿𝗶 𝗴𝗮𝗻𝗶?

    1st kupiiga kokoto kwa mikono na kuchimba jiwe za kujengea [emoji846][emoji846][emoji846] (10 yrs old boy) 2nd kuwafanyia usafi wale mabro walikuwa wakiishi katika nyumba za kupanga huku wameajiriwa na status zao za maisha ikawa ngumu kwao kufanya zile kazi za zamu katika majumba yao. Pamoja na...
  9. Trendz

    JamiiForums Tanzania Tahadhari zipi za kuchukua unapoomba mtoto aliye chini ya miaka saba kutoka kwa mama yake na yakatokea mazingira kama haya?

    Braza fanya uhame Dar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Trendz

    JamiiForums Tanzania Jirani anajenga Msingi wa ukuta katikati ya jiwe la mpaka la manispaa, Sheria ya Ardhi inaruhusu hii?

    Nafasi inaachwa mita 1 kutoka katika jengo la makazi na boundary ya kiwanja ili kuzuia maji ya mvua yasimdondokee jirani. Fence inajengwa kufuata mchoro wa halmashauri na kwa jinsi picha inavyoonyesha hapo huyo jirani yupo sahihi. Ila napata mashaka kama kweli ni kiwanja chako
  11. Trendz

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    “SEA NEVER DRY AND MAN DON’T CRY”
  12. Trendz

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki

    Kwa hiyo bei unapata 2 mpya Zanzibar
  13. Trendz

    JamiiForums Tanzania CHLOROFORM: Dawa ya usingizi inayotumiwa na wezi kuwapulizia watu kabla ya kuiba

    Chloroform huwezi kuhifadhia vyakula na hao wavuvi wakiktumia kwa ukosefu wao wa elimu basi wataishia kulala baharini/ziwani [emoji3]
  14. Trendz

    JamiiForums Tanzania Tunduru: Mauaji ya madereva bodaboda yaongezeka, hofu yatanda

    Sijawahi kuwaza hili ila linawezekana pia kwa wivu wa mapenzi
  15. Trendz

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua ABCs za biashara ya vyombo vya nyumbani(jikoni)

    Ndio nasema unaongelea kitu kwa madhania, issue ni kuwa nipo busy na professional job kwa sasa sitangazi biashara kuhusu mizigo ya watu walioagiza imefika muda tu na muhusika wa Tanzania alifanyiwa operation Mtu kama wewe ndio mnarudisha maendeleo nyuma na mkizeeka mnakuwa wachawi
Back
Top Bottom