Hahaha sa si kaona we ni mzee wa michepuko mbona hakukutafuta mara ya kwanza alivyoona mmh jamaa wa michepuko kakutafuta basi kula umeweza kwa wengine kwake unashindwaje
Alafu wanawake tuko tofauti kuna ambaye ukichepuka analiaaa ananuna wiki unaomba msamaha yanaisha. Kuna ambaye hajui kusamehe kabisa kama mimi lile tukio linajirudia kichwan kila akiwaza kurudisha mapenzi kwako hasira inapanda huyo harudilazima achepuke, kuna mwingine anaweza asichepuke ila...
Naomba nikuambie Rest in Peace kabla hujafa jaman ili jue wakati unalazmisha Mungu akupende nami nilikua mmoja kati ya wale walokupenda zaidi Bravooo kwa mwanamke mwenzangu mchumu kwa niaba yangu kwanini apige kelele wakati adhabu zipoo hahahahaaa safi sana ukome na nina uhakika hutarudia tena
hahaha neno Kuntuuu iloooooo tena sana haswaaa baby i love u nying wakati hata hajielewi kesho yake nini kila siku ye babay sina kitu sa unafnya nini upatee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.