Hiyo ilinikuta 2008 nikiwa na kampuni fulani hivi... Siku hiyo sina kitu mishale ya saa Saba hivi inatokea dili fulani nikapiga kama milioni tatu hivi... Sasa Ile furaha nitasema nikajipongeze kidogo na washkaji jioni yake. Kumbuka nimetoka asubuhi nyumbani sina kitu.
Basi nikawaita wanangu kama...
Nimekuwa nataabika na tatizo hili kwa muda Sasa... Kila nikitoka kuoga basi dakika kumi nitakuwa nawashwa sehemu mbali mbali za mwili tena katika hali ya kukera kabisa.. hii husababishwa na nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.