Nashauri kabla ya uchaguzi,mabadiliko ya katiba ya CDM yafanyike kuhusu madaraka ya mwenyekiti kuteua majina kwa nafasi ya katibu mkuu na naibu katibu mkuu
Mgogoro huu umetuamsha na kutufanya tusome na kuzifahamu katiba za vyama hasa CDM,na kuhusu mgogoro kuna upande unatumia mabavu na mwingine unafuata katiba inavyoainisha hata kama ndio una makosa.Pia katiba ya CDM ina mpa madaraka makubwa mwenyekiti ya kuteua watu wake katika nafasi ya katibu...
Katiba ya CDM ina mpa madaraka makubwa m/kiti ya kuweka watu wake ktk nafasi ya katibu mkuu na naibu wake na baadhi ya viongozi:Hii inawafanya watu kutamani nafasi hiyo na ndio chanzo cha migogoro
Tatizo ni ubovu wa katiba za vyama vya siasa ambazo zinampa madaraka M/kiti kuteua majina ya katibu na naibu wake ili wachaguliwe na wajumbe.Hii inamfanya katibu mkuu kuwa mwoga kwa m/kiti hata kama kakosea.Tunapolalamikia madaraka ya Raisi ni lazima turekebishe madaraka ya m/kiti kwanza
Siasa za upinzani zimekuwa na mashaka sana,sasa inafikia hatua wananchi tunashindwa kuwaamini,maana kila baada ya miaka kadhaa wasaliti wanapatikana ambao walikuwa viongozi mahili wa chama,tusishangae miaka mitano baadae Lissu ama Mnyika wakawa miongoni mwa Wasaliti.Kwa utaratibu huo ni vyema...
Warsaw walikuwa wachokozi sana but nakumbuka tukio la Mwaka 2002 baada ya kushinda Basket Uhazili dhidi ya walambo tulirudi kwa shangwe na kupita katikati ya mabweni na madarasa ya warsaw
Ni wakati wa chadema kuonesha wana watu wengi wenye uwezo hata kushika madaraka mbalimbali kiserikali na hili litawezekana kwa kuwaamini watu wengine kuongoza chama mbali na Mbowe,Slaa na Zito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.