Hv unajua kinachoendelea uko au kaz yako kuangalia bible tu waliokuletea wakolon? Na kuangalia BBC wa israil na marekan chupi mkonon uko wanatafuta pa kutokeA
Kwa miaka mingap wazanzibar walikua wanataka muungano uvunjike lkn nan alikua kikwazo kikuu? Mbona munajifanya kusahau wengine mpaka kupewa kes na kusemwa jela kwa sabab walitaka muungano huu uvunjike kipindi chote mulikuwa wap?
Umeshawah kujiuliza kipind zanzibar ilalalamika kuwe n serikal 3 watanganyik walikua wapi.? The same pain you feel right now ndio waliyopita wa zanzibar so kuwa na utulivu kijana? Marais wangapi wameshapita kutoka Tanganyika na nini kilichofanyika? Umewah kujoji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.