ila yule bwana alitugwangala sana, imagine ikatengwa bajet ya kutangaza mlima kilimanjaro, kwa wasanii wa ndani na media za ndani, hivi kuna mtanzania hajui kuwa tuna mlima kilimanjaro? na mzee aliyelala yoo aka aprove, bado kukawa na tetesi kuwa alibeba poshy kupeleka katavi national park kwa...
mawazo mgando waliyo nayo ni mafanikio asilimia mia moja ya mfumo wa elimu uliopo, tuliopo nje ta box tunaambiwa tunalia lia wakati kuna waziri huko anasafirisha malaya kwenda mbuga ya wanyama kwa budget ya mil 700
napata hasira sana, na kuna majinga kisa yana kamilioni yanajiona yameula, wakati kuna watu wanachota kodi zetu kwa mabilioni huko badala ya kuzielekeza mahali husika
hili linaweza kufanyika kuanzia ajira zijazo (if only zitatolewa) na kuendelea.
watu wanaopinga utasikia wanakuambia eti hakuna nchi iliyoendelea inayofanya hivi, sijui ni nani alitufunga akili na kutuambia kila kinachofanywa na nchi nyingine ni muafaka na kwetu.
idadi ya wahitimu waliopo mtaani ni kubwa kutokana na hali ya utoaji wa ajira iliyopo tangu mwaka 2015, to make it simple, chukua idadi ya wanao maliza kila mwaka kotoka vyuo vilivyosajiliwa na serikali katika ngazi ya cheti hadi elimu ya juu.
kuhusu sheria inayoitaka serikali kuajiri unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.