Recent content by Trance M

  1. T

    Hureeeeee TASAF

    Mwenyeminazi ingia inbox kaka
  2. T

    Nimesoma na kuhitimu uhasibu kwa ngazi ya cheti

    soma mitandao sana na magazeti kwa ajili ya kupata nafasi za kazi. Pia muombe Mungu hata kwa kufunga utafanikiwa
  3. T

    Tume ya ajira na hiyo "certified certificates"

    Toa upya copy kutoka original then peleka kucertify. vinginevyo haikubaliki kupeleka photocopy ya kucertify.
  4. T

    Tume ya ajira na hiyo "certified certificates"

    Huu ni ulaji na wala haukubaliki! Mahakim wanacertify vyeti copy bila kuona originals. Huu si ni upuuzi, halafu tume ya ajira inaendelea kukomalia watu wacertify vyeti. My take; PSRS au mashirika mengine yawe yanahitaji vyeti originals tu kwa wasailiwa wanaofikia hatua ya Oral interview...
  5. T

    Daah Ajira ngumu aisee!

    Pole sana kb52 kila jambo lina wakati wake. Tusichoke kumuomba Mungu.
  6. T

    TASAF wamesha-shortlist?

    mkuu matoke upo? umekuwa kimya sana
  7. T

    Ufafanuzi please!

    Nafasi zinazotangazwa na utumishi ni kwamba wanaoajiriwa na utumishi wanalipwa mishahara na Serikali moja kwa moja (Hazina). Wanaoajiriwa na MUHAS au agency yeyote ya serikali kama Ewura, Tacaids, TRA, Sumatra nk wanalipwa na hizo agencies moja kwa moja na si Hazina. Kwa kifupi mtangazaji wa...
  8. T

    Daah Ajira ngumu aisee!

    kb52 umekuwa kimya sana. vp usaili pale TRA? tukupe hongers?
  9. T

    Mimi ni mtaalam wa Ms Office hasa Excel - Anayehitaji msaada please!!!!!!

    Indeed! In the past, i found planning and organising a challenge but i can now use outlook both in my mobile phone and desktop computer to synchronise my tasks. i found it very useful therefore saves my time and monies. Please send me a pm, we can do!
  10. T

    Mimi ni mtaalam wa Ms Office hasa Excel - Anayehitaji msaada please!!!!!!

    inawezekana mkuu king kong. tena ni rahisi mno nipm tukutane nikufanyie kazi kwa mda mfupi sana na nitakuelekeza next time hutanitafuta tena.
  11. T

    Mimi ni mtaalam wa Ms Office hasa Excel - Anayehitaji msaada please!!!!!!

    Habari wakuu! Nimekuwa nikifanya kazi na wazungu zinazohusisha matumizi ya excel 95% kwa zaidi ya miaka minne sasa. Kwa hiyo nipo vizuri sana kwenye spreadsheet. Kazi zangu zilikuwa ni kutengeneza formula (Logical formula kama IF function and the like) ambazo zimekuwa zikirahisisha...
  12. T

    TASAF wamesha-shortlist?

    Najua leo ndio umeenda kuungua mkuu matoke all the best!
  13. T

    TFDA usaili

    uliomba nafasi gani?
  14. T

    TASAF wamesha-shortlist?

    Wamekupangia lini usaili wako
  15. T

    TASAF wamesha-shortlist?

    waliofanya oral interview pale Tasaf kuanzia tar 9 sept hadi 19 sept watujuze ni lini wanaaza kuita watu kazini.
Back
Top Bottom