Recent content by traco

  1. T

    The inevitable class struggle between the haves and the have nots...!

    Mkuu wazo zuri tatizo ulitambulisha kwa ubaguzi wa kielimu,ilitosha pia ingenoga ungejenga hoja bila harufu ya udegree ili kuunganisha wachangiaji. Nakushauri fanya siku zijazo. Ila hoja yako ina mashiko makubwa. Wasomi wakat mwingine tunakosea tunapopambanua hoja kwa kuisi utaeleweka kwa...
  2. T

    Nawezaje kupata mkopo wa Access Bank ?

    Access ndo benk inayoongoza kuwafilisisha watanzania. Hawafai matapeli bora wafungishwe vilango na mzungu wao david wakatapel nchi zingine vilaza
  3. T

    Kutoka Hoteli ya Gold Crest, Mwanza: Kongamano la Katiba Mpya

    Tv station gani inaonyesha. Wakuu tujuze wengine umeme tangu asubuhi hatuna mpk mida hii
  4. T

    Kutoka Hoteli ya Gold Crest, Mwanza: Kongamano la Katiba Mpya

    Jaman wengine hatuna umeme tangu asubuhi. Je tv station inayorusha tufuatilie kupitia website. Anajua naomba jibu
  5. T

    Nauli mpya za mabasi ya mkoani hizi hapa!

    Chanzo ni wapi? Je ni sumatra?
  6. T

    Yaya aliyemtesa mtoto Uganda aomba msamaha

    Afunge huyo dada roho mbaya al shabab wana afadhari sababu wanaua watu wazima. Video hile inatisha.mie wanangu walishindwa kuiona bali waliishia kulia tu. Pamoja na kifungo anatakiwa kuombea atokwe pepo chafu
  7. T

    Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)

    Pole sana upendo.wew ni jembe la ukweli. Nakumbuka kumuona kwenye kipindi cha star tv cha vijana. Nimeumia kusikia hivyo ajali. Jua hauko pekee yako. Tuna share maumivu yako kiroho. Mungu akupe uponyaji wa haraka uendeleze mapambano. Tanzania ya leo inaitaji energetic ladies kama wew
  8. T

    Wabunge muondoeni spika

    Wakuu vumilieni nadhan amefanya hivyo kusudi ili wapitie rapurapu za muhongo ili walinganishe na ya PAC, hana pa kutokea amewasilisha majibu zaifu na mepesi dhidi ya hoja nzito za PAC. Walikosa mtu mahili na makini. Kama kawaida yake kazijibu kwa dharau, eti TRA wakadai PAP au IPTL hajui hata...
  9. T

    Freeman Mbowe amwangukia Zitto, Kamati yaundwa rasmi kuwakutanisha

    Source haijukani ya mwandishi huyo kanjanja. Gazeti la wachumia tumbo. Njaa itawaua
  10. T

    Mkakati mzito wa kufungua kesi mahakama kuu ili kuzuia bunge kujadili repoti ya escrow account

    Nyakanya jadili hoja sio lawama. Mtoa thead amesema kuna 'tetesi' sio statement of fact mbona watoka povu? Pia anasema kama itatokea mtizamo wetu ni upi? Moderator has got a duty 2 present raised issues 4 discussion n not otherwise. Kama wew ni mnufaika wa escrow scandal sherekea neema yako sio...
  11. T

    Mdahalo wa Katiba uliokuwa ufanyike tarehe 16 Novemba, 2014 waahirishwa

    Watu tuko njian kutoka mwanza tuko 4 no kweli umeharishwa? Watu tumeishagaramika.siamin.mbona page ya humprey polepole hajaandika kitu kuhusu kuharishwa.jaman acheni matani tupe ukweli wa mambo tafadhari.
  12. T

    Kikwete atakuwa USA kuanzia Alhamis ijayo

    Kama kweli ataenda jk umezidi jaman. Ulitembea dunia nzima kwa miaka 10 ukiwa wazir wa nje wa mkapa.umetumia nusu ya utawala wako nje hivi uchoki kusaga hela za watu wa nchi maskin kama yetu. Iga wenzako kenya, rwanda,burundi,na kwa kaguta wote mwaka huu wamesafili mara 3hadi 4 jk 14 kidogo...
  13. T

    Radio free Africa

    Diallo si ndo hao hao tu. Hajui kuwa vyombo vyake naanza kupoteza mvuto wa kuhabarisha na kupendwa. BBC ni chombo cha serikali ya uingereza lakin uikosoa na serikali ujirekebisha. Lakini dialo anaogopa. Ni msaka tonge siku hiz amefilisika sio kama zaman
  14. T

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Ni mjinga wa mwaka.vijana tumkabili mpk apate adabu. Kwa mzee warioba na mtia mwoyo, hasiuzunishwe na hilo ndo kwanza kaz imeanza. Mzee ajiue yuko na mungu na kilichomtokea si cha ajab hata george bush wa marekani aliwah kurushiwa kiatu tofauti ni kwamba bushi ni mwanajeshi alikwepa tu
Back
Top Bottom