Uwiiiiii! yaani umenikumbusha hawa watu hadi nimecheka, nilienda kuomba mkopo wa biashara, akaja dada mmoja afisa wa access kunitembelea, akanipigia tuonane dukan mi nikamsubir akaja, sasa mbwembwe zilizoanza, akakagua biashara tukajaza form kisha akaniambia nisubir nakuja, akatoka akaanza kupita duka kwa duka kuwawauliza kama ni biashara yangu, akamaliza akasema twende nyumban kufika nyumban akandikisha dhaman kisha akawa anatoka kwenda kwa majiran, ''nikamuuliza vip unaenda wapi?'' akajibu nataka nijiridhishe kwa majirani kama hapa kwako, nikamwambia kwa hy mjumbe, mtendaji kati na mwenyekiti wa kijiji wote wamekudanganya. nikamtolea uvivu nikamwambia mambo yakutangazana kwa mkopo wa mil 1.5 sitaki, nameghair nipe doc zangu. akawa mdogo ''eti ooh! usitumie hasira'' nikamwambia nipe kesho niamkie ACB. akanipa na kesho yake nikaenda akiba ndani ya wik wakanipa hela bila kuhonga hata 10