Nimemsikia kwenye planet bongo ya EA radio,anasema the guy went into drugs,walipata kumwuliza uliza akawa anadeny... But anaregret hawakufanya zaidi ya hapo,like kuongea na ndugu zake na vitu kama hivyo. Anasema album ya A.K.A. Mimi ilipata kuwa the best album in market. Lakini hakupata...
Watu wengine wa ajabu sana. Nani aliyekwambia Lwakatare ana pair moja tu ya gwanda? Ama nani alikupa ratiba ya nguo zake za kushindia? Ama alizokuwa akitumia huko mahabusu ni lazima zitumike siku anayoenda mahakamani? Ungekuwa unamjua Lulu,usingehoji ujinga wa harufu ya nguo ulizomwona nazo...
Mpiga Kelele kama kuna kitu chema unakubali. Kwa mfano hiyo programu yao ya 'Made in Tanzania' ni nzuri na ya kufikirisha ubongo. Fuatilia kwa makini. About 60 workers wataenda Dom,kuinaugurate hiyo programme. Alitoa mfano pale Sinza kuna saloon za nywele kibao. Akauliza kama kuna mtu ameshawahi...
Yaani Jide bana kachemka kweli. Ruge kaongea yyote. Akasema ziko radio station zaidi 100,azitumie hata hizo.Na Ruge kasema hakuwahi kuona mantiki ya kujibizana msg na Jide ingawa Jide alikuwa akimtumia sana sms,yeye anampigia. Amekuwa akimuuliza tatizo lililopo ili walimalize,Jide anapotezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.