Dah!
Kuna kipindi nimeanza kufikiri, huwenda sisi nchi yetu, mfumo tulionao haujatufaa
Huu mfumo wa Rais na mawaziri watokane na vyama, nadhani kwetu sisi hautupi nafasi ya kujadili mambo yetu tukiwa huru
Wabunge badala ya kuwa huru kujadili mambo ya kitaifa, wanakuwa waoga kwa sababu...
Ni swali tu kwenu viongozi wetu hasa kuhusu hili la DP world kupewa Bandari zote za Tanzania Bara.
Wananchi hamtaki waandamane maana wakifanya hivyo mnawaona ni kama wanyama wasiostahili kuishi, mtahakikisha wanapigwa ikiwezekana kumiminiwa risasi za moto!
Wamekubali hilo, sasa wanatoa maoni...
Si ndiyo huyu Mwalimu Nyerere alikuwa akimwita na ama akitaka kumuonya alimwita, wewe John, njoo!! Ulitaka kusema nini??
Mwalimu hakutaka kumwita Mh waziri mkuu Jonh Malecela
Huyu hawezi kubadiri chochote kwa tunaoupinga huu mkataba wa kuchukua Bandari zetu zooote!
CCM ni kama kibinti Malaya kiilichokimbilia kanisani kikidhani ni mwisho wa umalaya kisijue ile ni roho kamili!
Kila hisia za kiumalaya zinapochemka, kinajiambia, wacha niende tu leo mara ya mwisho na starudia tena, kinafanya, na kesho kinafanya, na bado ile roho ya umalaya haikomi na mwisho...
Unayemtetea, alingia pasipo kutegemea, kwa sababu hiyo, anapaswa adhibitiwe, unyayo hadi unyayo, anaweza kufanya tusiyoyategemea, kama hili la kuuza Bandari zooote za Tanganyika
Hili hata wewe mtetezi najua linakuuma, ila kwa sababu ya interest zako tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.