Dah kaiba for the first time duku duku limenikaba kooni yaani haijawahi kutokea ktk maisha yangu hapo kabla ijapakuwa nimeanza kuupenda huu mziki toka mwaka 2000
ila yote na yote ongera kwake kijana wa hapa kazi tu
ukawa mi nilie pekee yangu
naamini mtakuja kuona aibu na kutafuta pakujifichia pindi wajina Kaiba inatosha
kwa sasa nanyamaza kimya sizungumzi kitu ila siku itapofika mtalia kwa kusaga meno
Neyo asingekuja hapo kwa jirani msingekuwa na uwezo wa kufanya naye collabo nyinyi
diamond kashafanya yake na ne yo ktk studio ya sheddy clever
kiukweli natamani hata kulia maana namhurumia wa jina wangu ali kaiba kaiba diamond kamuiba ne yo
acha nilie
mamaaa maaamaaa
hata kama ana mwili mkubwa lakini ukweli utabaki pale pale kuwa yeye ni mtoto tu
mi ninachoiomba serikali yake imfunge kifungo cha maisha huyo baba yake wakufikia maana ni sawa muuaji tu
hafai kuwepo uraiyani kabisa
upo sahihi
kuna wasanii wengi wa kibongo wamekuwa wavivu kuzitangaza kazi zao ktk mitandao yao na badala yake wanauachia uongozi wao pekee kudeal na promo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.