Hapa hatuzungumzii siasa tunazungumzia unga ambao unaharibu wadogo zetu dada zetu, kaka zetu na jamii yetu kwa ujumla, Inawezekana sio kosa lako maana pengine uwezo wako wa kufikiria ndio umeisha hapo.
Hivi karibuni kumekuwepo na katazo la kuzuia wafanya kazi walioachishwa kazi kuchukua pesa zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kwa kigezo cha umri kuwa lazima awe amefikisha umri wa miaka 55.
Lazima wajue kuwa kuna watu ambao huwa wanafanya kazi za mkataba mfu pengine mwaka mmoja au miwili...
Acheni ushabiki usio na maana, mnashabikia wasanii mkifikiri wao ni malaika hawawezi fanya makosa, hamjui kuwa wengine huwa wanatumia kivuli cha umaarufu kufanya mambo maovu. kama kweli mna huruma mbona hamna hata mmoja anaye zungumzia askari walio tajwa kujiusisha na ngada mmebaki kuzungumzia...
Nivizuri tukaiacha jeshi la polisi lifanye kazi yake, Naamini mpaka makondo kuamua kuyaanika hayo majina hadharani basi ujue atakua na ushahidi wa kutosha. Tuwe wavumilivu kidogo kabla ya kutoa lawama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.