Recent content by TOUGH RALLY

  1. T

    Kwanini ubora wa magolikipa upimwe kwa clean sheets!?

    Na beki bora tunampimaje?
  2. T

    Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo

    Wakuu mnisaidie Walimu wa physics, chemistry na maths hapo mchikichini nijue gharama zao nataka kujiandaa kwa Bajeti mana nawaona wote humu ni wakongwe mnaweza kuwa gharama za zamani kama yupo ajuae kwa sasa msada wake nauhitaji
  3. T

    Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo

    Wakubwa zangu shikamoni wote! hivi hawa walimu bado wapo kweli na Bei ni shilingi kwa mwezi mie mdogo wenu Nipo fom 2 hapa tabora boys nataka fata nyayo zenu msada tafadhali
  4. T

    Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo

    Kama Kwenye daladala vile Ukikaa ukisimama unatoa kiduara tu
  5. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna songi la twanga pepeta jina siujui ila una maneno Nina nguvu stemina kama jeradi napiga miguu yote kama ronaldoooo napiga magoli didie Drogba
  6. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Asante kwa Uzi huu! Natafuta wimbo wa ally star ni wa zaman kidogo unaitwa natanga na njia mwenye nao pls pls
  7. T

    Wakuu nimemkumbuka Papii Kocha

    Mkuu hilo songi ni Kali mno ila nalitafuta Sehemu zote ni download silipati ebu mnisaidie waungwana wangu nilipate songi salima
  8. T

    Trafiki siyo kazi yake kukamata Bima na Vehicle, wanaingilia majukumu ya wengine una haki ya kukataa

    Jeshi LA polisi linajukumu ya kulinda usalama wa RAIA na Mali zake halikadhalika kusimamia utekelezaji wa sheria hivyo chochote askari polisi akiona kinaingia hapo lazima akukamate na sio lazima awe askari hata RAIA wa kawaida analo hilo jukumu tuwe RAIA wema kujilinda na kulinda Mali zetu na...
  9. T

    Hivi kuna taratibu zozote za kujianzishia kabila lako jipya na ukalitungia jina?

    Kabila ni kukua kwa koo na koo ni kukua kwa familia! Hivyo upate kabila lako oa mwanamke haki kisha unapata watoto wa kutosha! Wasiende kuoa pengine bali Wenyewe kwa Wenyewe kisha wajukuu wako haki kisha wanakuwa na majina mitalenamidimu wajukuu nao haki kisha wanaoana Wenyewe kwa Wenyewe baada...
  10. T

    Hivi kuna taratibu zozote za kujianzishia kabila lako jipya na ukalitungia jina?

    Ha ha ha ha! Kabila huja baada ya kukua kwa koo na huanzishwa na familia ya baba na mama! Ili utengeneze kabila lako unatakiwa uoe mwanamke mzae watoto wa kutosha tu kisha watoto wako waoleane wajukuu zako watumie jina lako ww babu na wajukuu waoane wao kwa wao mkisha kuwa wengi na mnakaa pamoja...
  11. T

    D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

    Kwa Mara ya kwanza nasoma story yenye mengi kama hii! Mwendelezo ni tag nipate mambo
Back
Top Bottom