MAGUFULI NA CCM WAKATAA RASMI KURA ZA WAKRISTO BAADA YA KUWASEMA VIONGOZI WAKIKRISTO HADHARANI
Na Fandre
Katika takwimu za dunia na ambazo zimejaa kwenye tafiti nyingi maarufu duniani zinaonyesha ya kuwa kuna dini kubwa tano tu dunaini ambazo zimekadiriwa kuwa na waumini kama ifuatavyo...
NIMEAMUA KUSIMAMA UPANDE WA UKAWA NA KUMPIGIA KURA LOWASA AWE RAISI KWA MOYO MWEUPEE!!
Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa...
Ima Nchimbi,huna lako tena kwenye jimbo la Songea,
Jamaa anafaa kuongoza jimbo la Songea mjini,na kwa CV hii nilivyo soma namtakia mafanikio mema kwa masaa machache yaliyo baki,
Mungu akiwa upande wako hakuna aliye juu yako.
Hiyo post yako umeweka maneno yanaelea elea tu, hujatumia Quran tukufu wala ßiblia takatifu. Nimesema hivi kwasababu humu ndani kuna waislamu na wakristo, sasa hiyo post yako nzuri ila inawahusu wasio na dini.
Haya ndio matatizo ya watu wakikosa kazi za kufanya,
Mtu kama huyu lazima ametumiwa na mtu wa juu nani sijui,ila wenye uelewa mkubwa watakuwa washajua nini nina maanishaaa,
Jambo la muhimu kujua ni kwamba kumuandika mtu ambaye tayari amefanikiwa katika huduma,huwezi kumshusha chini kiraisi kwa...
Naomba msaada watu wa nmb,
Kwanini leo asubui nimetuma nimetuma pesa kutoka kwenye acc yangu ya m-pesa kwenda nmb,cha kushangaza ikarudishwa je nini tazizo??
Neno la Mungu linasema usiogope,sasa kwanini Gwajima aogope?
Ndio maana sasa akasema siogopi,bunge,mahakama,wala chochote
Pia Gwajima ni mtu wa namna yake,sii kama watu wengine kabisa,kwanini nasema ivi?
Kwa hili jambo ambavyo lilikuwa laiti kama angekuwa mtu mwingine angekuwa amruliwa na...
GWAJIMA AIKABA POLISI, AGOMA KUPELEKA NYALAKA
Tumekubaliana kimsingi na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kama ifuatavyo;
1. Kwamba zoezi/hitaji la Askofu Josephat Gwajima kuwasilisha nyaraka kadhaa zilizoombwa na Jeshi hilo limesitishwa kusubiri utatuzi wa Ofisi ya Mwanasheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.