Recent content by totoo brst

  1. totoo brst

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Bado kinatakiwa kipigwe brash,hicho ni simple sana,hata matamshi ni yakisukuma bado,
  2. totoo brst

    Kuelekea uchaguzi

    MAGUFULI NA CCM WAKATAA RASMI KURA ZA WAKRISTO BAADA YA KUWASEMA VIONGOZI WAKIKRISTO HADHARANI Na Fandre Katika takwimu za dunia na ambazo zimejaa kwenye tafiti nyingi maarufu duniani zinaonyesha ya kuwa kuna dini kubwa tano tu dunaini ambazo zimekadiriwa kuwa na waumini kama ifuatavyo...
  3. totoo brst

    Magufuli na Kikwete watofautiana kauli

    Hawana maana wote hao
  4. totoo brst

    Nitampigia kura Lowassa!

    Mwaka huu mabadiliko ni lazima, Tumezoea kula Chakula cha aina moja,ngoja tubadilishe tuone radha itakuwaje
  5. totoo brst

    Nitampigia kura Lowassa!

    NIMEAMUA KUSIMAMA UPANDE WA UKAWA NA KUMPIGIA KURA LOWASA AWE RAISI KWA MOYO MWEUPEE!! Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa...
  6. totoo brst

    Emmanuel Nchimbi apata mrithi Songea mjini, ni Fredrick Fussi wa CHADEMA (Azania 2007)

    #vitaimana Wangapi wanavaa miwani?hata akitoa haita kusaidi kitu
  7. totoo brst

    Emmanuel Nchimbi apata mrithi Songea mjini, ni Fredrick Fussi wa CHADEMA (Azania 2007)

    Huyu ndiye mtiania wa Jimbo la Songea Mjini Mh:Fredrick Fussi.
  8. totoo brst

    Emmanuel Nchimbi apata mrithi Songea mjini, ni Fredrick Fussi wa CHADEMA (Azania 2007)

    Ima Nchimbi,huna lako tena kwenye jimbo la Songea, Jamaa anafaa kuongoza jimbo la Songea mjini,na kwa CV hii nilivyo soma namtakia mafanikio mema kwa masaa machache yaliyo baki, Mungu akiwa upande wako hakuna aliye juu yako.
  9. totoo brst

    Mkanganyiko baada ya roho kuachana na mwili

    Hiyo post yako umeweka maneno yanaelea elea tu, hujatumia Quran tukufu wala ßiblia takatifu. Nimesema hivi kwasababu humu ndani kuna waislamu na wakristo, sasa hiyo post yako nzuri ila inawahusu wasio na dini.
  10. totoo brst

    Huyu ndiye askofu Gwajima ninayemfahamu, Wakristo jihadharini naye

    Haya ndio matatizo ya watu wakikosa kazi za kufanya, Mtu kama huyu lazima ametumiwa na mtu wa juu nani sijui,ila wenye uelewa mkubwa watakuwa washajua nini nina maanishaaa, Jambo la muhimu kujua ni kwamba kumuandika mtu ambaye tayari amefanikiwa katika huduma,huwezi kumshusha chini kiraisi kwa...
  11. totoo brst

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba msaada watu wa nmb, Kwanini leo asubui nimetuma nimetuma pesa kutoka kwenye acc yangu ya m-pesa kwenda nmb,cha kushangaza ikarudishwa je nini tazizo??
  12. totoo brst

    Mawakili wa Gwajima wamwandikia Kova barua

    Neno la Mungu linasema usiogope,sasa kwanini Gwajima aogope? Ndio maana sasa akasema siogopi,bunge,mahakama,wala chochote Pia Gwajima ni mtu wa namna yake,sii kama watu wengine kabisa,kwanini nasema ivi? Kwa hili jambo ambavyo lilikuwa laiti kama angekuwa mtu mwingine angekuwa amruliwa na...
  13. totoo brst

    Peter Kibatala: Awashika pabaya polisi sakata la Gwajima

    Hawa jamaa wameumbuka sana,imekula kwako,PP LTD ahahaha,
  14. totoo brst

    Peter Kibatala: Awashika pabaya polisi sakata la Gwajima

    GWAJIMA AIKABA POLISI, AGOMA KUPELEKA NYALAKA Tumekubaliana kimsingi na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kama ifuatavyo; 1. Kwamba zoezi/hitaji la Askofu Josephat Gwajima kuwasilisha nyaraka kadhaa zilizoombwa na Jeshi hilo limesitishwa kusubiri utatuzi wa Ofisi ya Mwanasheria...
Back
Top Bottom