Miaka ya tisini kulikuwa na vichaa maarufu walijulikana mji mzima.Alikuwepo Malingumu,Madebe bila kumsahau Mwajuma ringa.Hili la vichaa ni kweli mkuu tangu enzi hizo japo sababu sijui.
Miezi michache ilopita wakati akiapisha mawaziri alisema wasiwaze kuhusu uchaguzi ujao wachape kazi but yeye amekuwa wa kwanza kuuwaza,tena kwa kishindo.
Umenikumbusha gazeti moja lilikuwa likimuongelea mchezaji aliyeitwa Mbo Mpenza aliyesajiliwa na timu ambayo iliyokuwa na maskani yake hapo Kumamoto.Heading yake ilikuwa hivi "Mbo ndani ya Kumamoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.