Recent content by Tosiri

  1. T

    Ridhiwani Kikwete achemka bungeni jioni leo

    Tuwe makini katika kujadili hoja kama hizi. Tukumbuke kuwa kama hujafanya utafiti wa jambo huna haki ya kulizungumzia hivyo huyu muweka hoja athibitishe anachokisema. CDM DAIMA
  2. T

    Nape/CCM wanachukia mwafaka?Hawajitambui

    Mtoto huongea alichotumwa na baba yake
  3. T

    CHADEMA yatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri Jipya 2014 likihusisha vyama vingine!

    Napenda kushauri kumtukana mtu si hoja ya kujadili bali tatizo tulilonalo ndo tulijadili. TAFAKARI CHUKUA HATUA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA NI MIMI NI WEWE TWAWEZA
  4. T

    Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

    Pamoja sana na wasaliti
  5. T

    Matusi katika picha ya tangazo la Wema / Airtel

    Tusi ni nini fuatilia kwani maana ya kitu hutegemea mtu anayetamka.
  6. T

    Vyama Mfu na jingle mpya ya UKAWA

    Fikiri kwanza labda we ndo umekufa.
  7. T

    Tumechoka kuandamana (sms sent)

    Nani atawaua waandamaji ukawa au intarahamwe
  8. T

    UKAWA pimeni upepo; wananchi wamechoka ngonjera zenu.

    Sizani kama tumechoka labda wewe ndo umechoka acha kukurupuka fanya utafiti kwanza ndo uongee
  9. T

    JK kura 6mil ni sampling hata kwa waliojiandikisha achilia mbali watz mil 47+

    Tujue kuna shida sehemu mambo yasio na masilahi kwao ni halamu
  10. T

    Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

    Nakuunga mkono nipo tayari napatikana MUSOMA chuo kikuu
  11. T

    Mwigulu afuta Malipo ya Wajumbe Waliotoroka Bungeni, azuia Mabenki yasiwalipe!

    Leo wamewakumbuka wanaoweza kujadili hata bure mbona kipindi wanadai ongezeko la posho hawakujua kuwa wapo aache unafiki.
  12. T

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    Tuongeze maombi kama hao ndio washauri wa rais.
  13. T

    Mkakati mpya wa Bunge/CCM kuhusu katiba mpya huu hapa

    Shida zinapozidi wokovu u karibu haya ni mapito katiba ya wananchi tunayo sisi wananchi wacha wapeane utajiri huko bingeni ila wakija tuwakatae.
Back
Top Bottom