Recent content by tortoise

  1. T

    Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

    Mpira ni mchezo Wa matokeo na mafanikio
  2. T

    Jenerali Ulimwengu: Hata kwenye upuuzi tuko dhaifu!

    Nahisi Jenerali angeandika makala yake kwa kiingereza neno upuuzi lingepungua ukali na kusomeka comical au entertainment. Tuache kupotosha maudhui ya ujumbe mzuri na wenye nia nzuri kwa kung'ang'nia literal meaning ya neno upuuzi. We should learn to read between the lines so that we can unveil...
  3. T

    Jerry Murro kuwa Muafrika mashariki wa kwanza ndani ya CNN Atlanta

    Mbali na jeff koinange kuna mkenya mwingine ambaye ni news anchor wa cnn mwanadada anaitwa ZAIN VERJEE.
  4. T

    Msaada wa China: Haya ni baadhi tu ya masharti

    RIP Mwalimu With sadness we dearly miss your GUIDANCE.
  5. T

    Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

    Big time , to me its a big deal. An intellectual from an oppressed society economically expressing his mind freely without fear or any hint of mental slavery or bondage from the neocolonists . After all our currents beliefs and religions inclinations are nothing but historical,colonial and...
  6. T

    bongo ukiwa na hela kama new york

    ****. Nonsensical.
  7. T

    Pinda ashindwa kupelekea madaktari wanajeshi ktk hospitali za DSM

    Neno ubinadamu lisiwe ngao ya kunyanyasa madaktari. Wao pia wana familia zao zinazowategemea na hawawezi kuewakabidhi kifurushi kinachoitwa "ubinadamu" ili kutatua matatizo yao wanachohitaji ni haki zao halali zitimizwe ili wakidhi mahitaji yao. Ubinadamu haulipi ada wala kodi ya nyumba.
  8. T

    CHADEMA waomba msaada kwa mataifa ya nje

    Nchi yetu Tanzania yenye kujivunia amani toka uhuru 1961 pamoja na Afghanistan iliyopo vitani Kwa zaidi ya miongo miwili sasa ndio zinaongoza kwa upokeaji misaada toka nchi za magharibi. Tumeifanyia nini misaada hiyo ? In return tumekabidhi mali asili za nchi yetu at a nothing !
  9. T

    Jenerali apatwa na hasira dhidi ya CCM - akiita chama cha wahuni, Mkapa mwizi

    Atiwe mahabusu na nani ? Tumezoea uongo kwa kiwango kikubwa hadi tukisoma au kusikia ukweli tunazizima kwa hofu. Jenerali shujaa wetu endelea na wokovu wa wa wadanganyika
  10. T

    Jaji Warioba: Sioni kwanini tusiwalipe DOWANS pesa zao....

    Sheria msumeno na haihodhiwi na chama tawala wala upinzani
  11. T

    Julius Malema wa Tanzania yuko wapi?

    You are absolutely right. James Ole Millya can and has always taken the BULL by the horns. Courageous,fearless,patriotic and always believe in what he is preaching. Nor has he ever been intimidated by the establishment. . .
  12. T

    Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

    Hukubaliani na nini ndugu ? Kwani hao viongozi wa kiafrika wanapigiwa kura na wazungu au sisi waafrika wenyewe ? Wakijitokeza watu wenye sera safi munawapiga vita na kuwaita wadini.wakabila,wachochezi au wavurugaji wa muungano. . .
  13. T

    Millya: Nape ni vuvuzela na saratani ndani ya CCM

    Millya mwanasheria kwa kiwango cha LLB- Pretoria University
  14. T

    Lowassa aongea na vyombo vya habari; akataa kugusia suala la Richmond/DOWANS

    Gamba au si gamba Mh Lowasa kama mtanzania ana haki ya kupiga au kupigiwa kura. Mpaka hapo haki hiyo itakapobatilishwa na mahakama au vikao husika vya chama chake hatupaswi kumuhukumu humu jamvini. Na hata chama chake kikimkatalia nna uhakika katiba mpya itampatia haki hiyo kupitia mgombea binafsi
Back
Top Bottom