Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Hivi misaada ya Conservative kutoka kwa kina Cameroon Uingereza mmeona midogo mnatafuta mingine..
Lakini mtambue lazima misaada kuwepo na masharti kutoka kwa anaetoa msaada.
Mfano misaada ya Conservative masharti yake lazima mkubali ushoga. Na nyie ndio wafadhili wenu wakuu..
Hapo kwenye red mkuu,
Kwani ile msaada wa mabilioni uliotolewa na uingereza kwa serikali ya ccm miezi miwili iliyopita wakati mjadala wa ushoga ukiwa unaendelea unataka kusema kwamba hicho kipengele cha ushoga serikali ya ccm iliiridhia? Chadema katiba yetu inazungumzia familia, hatutambui ushoga. Ni swali tu.