Mtoa mada unachanganya madesa, elewa kwamba kuna
1. Mnikulu wa Ikulu
2. Kuna mwandishi wa hotuba za Rais
3. Kuna Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu
4. Kuna katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu
5. Kuna Katibu binafisi wa Rais
Sasa basi,kila mtu ana majukumu yake kwa nafasi yake!
Hatari sana! Mimi kuna siku,niliuliza kwa brother,huyu jamaa ni mmoja ya Presenter anayelipwa pesa nyingi Tanzania,mbona yuko hivi?? Maana nilijua labda ana nyumba hata huko Goba au Madale,bother aliniambia achana na maisha ya watu!
Mwaka 2010,nilipata demu mkali hatari,alikua anasoma IFM,nilimpa pesa,mitoko ya maana sana,kipindi hicho City Garden Dar Es Salaam na Club Bilicanas zinakimbiza balaaa!!
Siku moja baada ya miezi sita akasema nakuja kwako,nikasema leo ndiyo leo,labda awe period la sivyo nakula mzigo!
Demu...
Tulikua tunakutana sana pale Triple Seven,brother wangu ndiyo alikua mshikaji wake! Kuna siku Gardner alimpaisha brother kwenye kipindi cha Jahazi,bro hakupenda
Hii sina taarifa yake!
Unaweza tupia walau kapicha ka hiyo ndoa ya kanisani kati ya Mama Caren na Gardner?? Maana siyo rahisi uwe na ndoa ya kanisani halafu ufunge ndoa nyingine tena hata kama ni serikalini,tena za kristo! Mama Caren lazima angeweka pingamizi la ndoa
Walizaa tu mtoto,ndiyo maana alifunga na Jay Dee, na baada ya ndoa na Jay De kufa,hakuweza tena kufunga ndoa,and now Jay De yuko huru kufunga ndoa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.