Mkapa na Kikwete, kama hamtamuondoa Magufuri kwenye hii nngwe, mjue huyo ndiye atakuwa Rais wa kudumu hapa Tanzania. Tufike mahali tuseme inatosha kipindi ulicho kitumikia kinakutosha, sasa tunahitaji mtu mwingine nae aanzie hapa ulipo ishia wewe. Nchi imefikia hatua mbaya sana, wale ambao...
Huu ni upumbavu unaofanya hapa jambo la msingi kabisa limezungumzwa wewe unakuja na lawama kwa wazungu kwani unafikili yakitokea machafuko wewe utakuwa salama? Ni ujinga mnaojijaza watanzania kufikiri kuwa CCM ndiyo uzalendo.
Kweli kanisa katoriki,linapaswa kujitafakali,Mara mbili,waovu wapo ndani ya kanisa wanapaswa kuambiwa watubu kwanza ili washiriki ibada ya ushirika mtakatifu
Mimi nipo hapa kibaha maeneo ya kidimu mkoa Wa pwani,tumepakana na ubungo mkoa Wa dar maeneo ya mpigi magohe, hakuna umeme wala dalili ya kupata huo umeme Leo wala kesho usiongee swala LA maji ndiyo balaa kabisa,halafu ndiyo mkoa unaojisifia kuwa na viwanda vingi Tanzania, hapa hakuna maji wala...
Mbowe na Matiko ni wabunge ama ni wawakilishi wa Wananchi bungeni,Mbowe ni mnadhimu mkuu bungeni,sawa na Waziri mkuu bungeni kimajukumu.Hivyo basi anapaswa kuheshimiwa kwa wadhifa wake.Mbowe na Matiko wamewekwa rumande kwa kudhalilishwa takribani miezi mitatu mfululizo,Rais ,Spika,Jaji mkuu na...
Ingelikuwa ni bora na faida kubwa kama baba yako angepiga punyeto na shahawa zake ziende na maji ya choo kuliko kuzaa hasara kubwa namna hii, na pia yawezekana hata baba yako ana akili mbovu kama ya kwako,bora ufe kuliko kuishi na kuharibu kizazi hiki.
Juzi jumatatu tarehe 07/01/2019,alikuja mkuu wa mkoa na wasaidizi wake,walileta sheria mpya kwa makazi ambaya hayajapimwa,amesisitiza ya kwamba walikaa na Mh,rais amewatuma kutafuta pesa. Sasa wao wamekuja na mpango wa kuwapimia watu viwanja vyao,lakini wanasema wakija kwako ,hilo eneo lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.