Recent content by Toothpick

  1. T

    Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete kuweni makini na Magufuli

    Mkapa na Kikwete, kama hamtamuondoa Magufuri kwenye hii nngwe, mjue huyo ndiye atakuwa Rais wa kudumu hapa Tanzania. Tufike mahali tuseme inatosha kipindi ulicho kitumikia kinakutosha, sasa tunahitaji mtu mwingine nae aanzie hapa ulipo ishia wewe. Nchi imefikia hatua mbaya sana, wale ambao...
  2. T

    Jinsi Chuki Inavyozalishwa Kwenye Nchi...

    Huu ni upumbavu unaofanya hapa jambo la msingi kabisa limezungumzwa wewe unakuja na lawama kwa wazungu kwani unafikili yakitokea machafuko wewe utakuwa salama? Ni ujinga mnaojijaza watanzania kufikiri kuwa CCM ndiyo uzalendo.
  3. T

    Kinana,Membe,Makamb ni wazalendo wa kweli. Kikwete na Mkapa waungeni mkono

    Ukweli umeusema na Watanzania tumekuelewa basi tuchukue hatua kuudhiti huu utawala.
  4. T

    Picha: Serikali ya wilaya na mkoa Ubungo DSM tusaidieni

    Acha ujinga mbona hapa kidimu ,kata ya pangani tuna mbunge Wa ccm,lakini hakuna Barbara ,umeme wala maji na tunapakana na mpigi Magohe na kibamba
  5. T

    Bernard Membe. Nyota inayong'aa sana sasa hivi. "Kachero Mbobezi

    Zamu yake kukatwa mkia imefika.
  6. T

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Kwahiyo wanavyotukanwa viongozi Wa upinzani wao huwa hawana Baba wala Mama au watoto?
  7. T

    KUTEKWA KWA MDUDE NA SAUTI YA KANISA NCHINI

    Kweli kanisa katoriki,linapaswa kujitafakali,Mara mbili,waovu wapo ndani ya kanisa wanapaswa kuambiwa watubu kwanza ili washiriki ibada ya ushirika mtakatifu
  8. T

    Jinsi wauza Nyama Buchani wanavyowaibia wateja

    Goba ndiyo wahuni kwelikweli nyama inauzwa kilo sh 5000 lakini ukinunua kilo kuanzia tano ujue unanunua kilo Tatu tu,ni wezi balaa Goba center
  9. T

    Tatizo la umeme Tanzania lafika ukingoni

    Mimi nipo hapa kibaha maeneo ya kidimu mkoa Wa pwani,tumepakana na ubungo mkoa Wa dar maeneo ya mpigi magohe, hakuna umeme wala dalili ya kupata huo umeme Leo wala kesho usiongee swala LA maji ndiyo balaa kabisa,halafu ndiyo mkoa unaojisifia kuwa na viwanda vingi Tanzania, hapa hakuna maji wala...
  10. T

    Ninaanza rasmi mgomo wa kulipa kodi

    Naunga mkono hoja
  11. T

    Je, uamuzi wa Jaji Rumanyika unathibitisha kuwa Mbowe alikuwa mfungwa wa kisiasa?

    Mbowe na Matiko ni wabunge ama ni wawakilishi wa Wananchi bungeni,Mbowe ni mnadhimu mkuu bungeni,sawa na Waziri mkuu bungeni kimajukumu.Hivyo basi anapaswa kuheshimiwa kwa wadhifa wake.Mbowe na Matiko wamewekwa rumande kwa kudhalilishwa takribani miezi mitatu mfululizo,Rais ,Spika,Jaji mkuu na...
  12. T

    Mh. Rais, maswali ya 'MO' ni mengi sana kuliko 'matatu' ya Lissu.

    Ingelikuwa ni bora na faida kubwa kama baba yako angepiga punyeto na shahawa zake ziende na maji ya choo kuliko kuzaa hasara kubwa namna hii, na pia yawezekana hata baba yako ana akili mbovu kama ya kwako,bora ufe kuliko kuishi na kuharibu kizazi hiki.
  13. T

    Waziri wa ardhi njoo mkoa wa pwani utusaidie hizi sheria.

    Juzi jumatatu tarehe 07/01/2019,alikuja mkuu wa mkoa na wasaidizi wake,walileta sheria mpya kwa makazi ambaya hayajapimwa,amesisitiza ya kwamba walikaa na Mh,rais amewatuma kutafuta pesa. Sasa wao wamekuja na mpango wa kuwapimia watu viwanja vyao,lakini wanasema wakija kwako ,hilo eneo lako...
  14. T

    Hivi mhimili wa mahakama Tanzania haitambui hati ya dharura iliyowekwa na watuhumiwa akina Mbowe?

    Iko siku watamkaza na Mama yako ,pia uendelee kufurahi
Back
Top Bottom