Jinsi Chuki Inavyozalishwa Kwenye Nchi...

Jinsi Chuki Inavyozalishwa Kwenye Nchi...

Nadhani kauli kama hii ingepelekwa kwa Mbowe hapa pasingetosha!
Kwani Mbowe lugha hiyo inamsumbua? Muhimu ni kuwa waijua lugha hiyo wamtafsirie mwenyekigoda wa chama chakavu kwani wayafanyayo sasa yapeleka nchi ambako siko
 
Lugha ya SADC imepitishwa itatumika kwa mwaka mmoja tuu, mwakani tukikabidhi uenyekiti nayo tunaifunika kwenye makabrasha
Mimi nilidhani Magufuli sasa kakabidhiwa SADC for life, tuliambiwa uchapa kazi wake ndiyo sababu kapewa na SADC ainyooshe!, kumbe ni mwaka mmoja tu?! Ndio na kiswahili kitatumika mwaka mmoja tu?! Astakafururah, nilidhani sasa nchi wanachama wataanza kuongea kiswahili, tuliambiwa tuchangamkie fursa, kumbe ni mwaka mmoja?!
Ngoja niendelee na kozi yangu ya kiinglishi British council, niliacha nikijua sasa bara zima tutaliambukiza ngeli na vishazi, viima na viarifu?!
 
Wazungu waingereza/ wajerumani walikuja na Bibliab kitabu kitakatifu Africa.
Moja ya Amri 10 toka kitabu hicho ni
thou shalt not Kill
Thou shalt not steal

Ni wangapi waliuwawa iwe Tanganyika au nchi yoyote wakati Afrika akidai uhuru wake?
Ni mangapi wakoloni walikwapua (wizi na uporaji wa mali za Afrika na Tanganyika ikiwemo)

Ukiona watu ambao hata amri 10 za Mungu hawakuziheshimu wakati wanaleta Ukoloni na sasa sheria za kwao zinawaruhusu wanaume kugeuzana in the name of "Human rights"

Hao wakoloni wetu wa zamani on serious notice; hawana moral authority kutueleza haki za binadamu.

Wasifanye kile wahubiri wanasema fuateni script yangu na msifuate matendo.

Matendo yanazungumza kwa sauti kuliko documentary zenye narratives zilizo sugar coated
Huu ni upumbavu unaofanya hapa jambo la msingi kabisa limezungumzwa wewe unakuja na lawama kwa wazungu kwani unafikili yakitokea machafuko wewe utakuwa salama? Ni ujinga mnaojijaza watanzania kufikiri kuwa CCM ndiyo uzalendo.
 
Back
Top Bottom