Recent content by Tonya

  1. T

    Ni aibu kubwa Taifa letu kujifunza Teknolojia kutoka Rwanda

    a better idea is a better idea no matter where it come from!
  2. T

    Bajeti ya trilioni 29 yakwaa kisiki asubuhi!!! yawavuruga watendaji

    tutulie na tusubiri kuisoma namba
  3. T

    Mbunge akunwa na tabia ya Naibu Spika, kumpa jina la Tulia mtoto wake mchanga

    bora hawa wanaojadili kupata watoto bungeni kuliko wanaoweka sahihi asbh kisha kuondoka na kusubiri posho
  4. T

    Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

    aende bungeni wananchi wake wanasubiria uwakilishi, wanavuta kodi zetu alafu badala ya kutuwakilisha wanakomaa na maandamano na kesi
  5. T

    Josephine Mshumbushi: CHADEMA ni mali ya Mtei, kimejengwa kwa misingi ya unafiki na nidhamu ya woga

    chama ambacho kinamsafisha fisadi kisa serikali haijampeleka mahakani wakati chenyewe ndo kilianza kumtuhumu kuwa fisadi!
  6. T

    Josephine Mshumbushi: CHADEMA ni mali ya Mtei, kimejengwa kwa misingi ya unafiki na nidhamu ya woga

    hakuna fursa ya mawazo mbadala CDM ...Vijana wanapoteza muda huko..
  7. T

    UKAWA nusura wazichape, kikao chavurugika. Ni kuhusu posho za Bunge

    uzi ni ule ule tuu .safi saana dr Tulia
  8. T

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga atenguliwa Uwaziri baada ya kuingia Bungeni akiwa amelewa

    lugumi imetafna kichwa...angemruhusu lema akawasilisha hoja yake pengine haya yasingetokea.
  9. T

    Sasa suluhisho la migogoro sugu katika ndoa zetu lapatikana

    watu wamesoma maandiko na maandiko bado wana migogoro ...huu ndo mwarobaini
  10. T

    Hivi sisi wanaume ndiyo tabia zetu??

    Kwa kuongezea mkuu mademu wengi ambao (1) inaruhusu hewa kupita huwa ni wagumu sana kuwapata ndiyo maana hata ukimpata anaanza haraka;
Back
Top Bottom