B. Mkapa anamiliki mashamba ya miwa ya Mtibwa, na ndiye Swahiba wa Rais Magufuli

Kweli wewe naye kituko. Lini ulisikia ngano imeadimika Tanzania? Mafuta ya kupikia ya viwandani yakipungua watu wanatumia nazi, karanga nk. Sukari ndiyo ilikuwa hadimu inatafutwa na wananchi halafu kuna mtu anayo nyingi na haitoi kwa makusudi au anaitoa kidogo kidogo mno.
Hapa cha kufikilisha ni kwanini Mh Mbunge anashindwa kutambua kuwa bidhaa aina ya sukari ni adimu na ndio maana ilizuiwa na kuacha ngano na mafuta.
 
Nilikuwa huko Mtibwa recently hicho Kiwanda mbona kina hali mbaya sana?? Naweza Sema kinachechemea..
Kuna mambo mengi sana hapo, sabortage inafanyika kiwanda kiwe underproduction watu waweze kufanya buy&sell from nje kwa sababu hiyo ni rahisi zaidi kuliko kuanza kuzalisha mpaka uje upate finished product.

So ktk hili naamini wapo vigogo ndani ya serikali akiwemo malofa
 
"Katika ziara za kushtukiza pamoja na kukuta
sukari tani kadhaa zimehifadhiwa,
pia
waliona mafuta ya kupikia
kontena kadhaa, ngano tani
kadhaa na Vingine vingi katika
ujazo wa tani. Katika vyote
hivyo sukari Pekee ndiyo
ilionekana kufichwa ila bidhaa
nyingine zimehifadhiwa"

:Godbless Lema

Chanzo :East Africa radio

Toa maoni yako.
Dhambi kubwa ni kumuogopa Uncle magu utadhani kama yeye ni mfalme.....unamuogopa vipi mtu aliye chini ya katiba ya nchi...tehtehteh na watu wa uingereza wataishi vp sasa.
 
Kweli wewe naye kituko. Lini ulisikia ngano imeadimika Tanzania? Mafuta ya kupikia ya viwandani yakipungua watu wanatumia nazi, karanga nk. Sukari ndiyo ilikuwa hadimu inatafutwa na wananchi halafu kuna mtu anayo nyingi na haitoi kwa makusudi au anaitoa kidogo kidogo mno.
Hapa cha kufikilisha ni kwanini Mh Mbunge anashindwa kutambua kuwa bidhaa aina ya sukari ni adimu na ndio maana ilizuiwa na kuacha ngano na mafuta.
kweli wewe ni mbumbumbu umesikia ni nani kaficha sukari? mbona walizosema zimefichwa awagawi bure? acha kufikiria kwa kutumia visigino.
 
kweli wewe ni mbumbumbu umesikia ni nani kaficha sukari? mbona walizosema zimefichwa awagawi bure? acha kufikiria kwa kutumia visigino.
Hii ndio aina gani ya kufukiria tena? Au ndiyo uliyoitumia kiasi cha kushindwa kujua kama sukari iliadimika madukani lakini kwenye magodauni imejaa na kitendo hiki ni kuficha.
Hivi kichwa chako bado kinakuruhusu kuendelea kujifunza? Au ndio unahisi unajua kila kitu. Kama ndiyo hatujisumbui kukupa maarifa.
 
Hii ndio aina gani ya kufukiria tena? Au ndiyo uliyoitumia kiasi cha kushindwa kujua kama sukari iliadimika madukani lakini kwenye magodauni imejaa na kitendo hiki ni kuficha.
Hivi kichwa chako bado kinakuruhusu kuendelea kujifunza? Au ndio unahisi unajua kila kitu. Kama ndiyo hatujisumbui kukupa maarifa.
nani kaficha sukari?
 
Kinachozungumzwa hapa hakuna MTU aliyeficha Bali ni kujihami tu,

Maana hata takwimu za serikali zinaonyesha
Kuna upungufu baada ya kuzuia isiingie miezi kadhaa .

Hata hivyo imeagizwa nyingine haijawasili
Ndo Maana ishu ya kuficha inakosan mashiko.
Kwahiyo ukiuliza hizo bidhaa nyingine hazijadimika hiyo anayeulizia kwanini haisemwi zimefichwa,!

Hujui kinachoendelea ,unahitji msaada!! !!
 
Mleta mada ana upeo mdogo, je hayo mashamba Mkapa hajaajiri watu? Na je huoni kama kukuza sekta ya sukari nchini muhimu kuliko kuacha wahuni kuendelea kuleta sukari iliyo-expire na kuua viwanda vyetu? Pakistan imetushinda nn haswa? Tena akitoka sukari ageukie kilimo cha ngano na mawese na ufuta! Tuache kuingiza nchini mafuta na ngano toka nje!
 
Mleta mada ana upeo mdogo, je hayo mashamba Mkapa hajaajiri watu? Na je huoni kama kukuza sekta ya sukari nchini muhimu kuliko kuacha wahuni kuendelea kuleta sukari iliyo-expire na kuua viwanda vyetu? Pakistan imetushinda nn haswa? Tena akitoka sukari ageukie kilimo cha ngano na mawese na ufuta! Tuache kuingiza nchini mafuta na ngano toka nje!
 
hahaha lema unatukatisha tamaa wapga kura wako, kumbuka hapa A-town kilo moja ya sukari ni tsh.4500 hv huko bungeni dodoma tumepeleka mbunge kwl?
 
Hao wakina Zakaria na METL wanashindwa nn kuwekeza kwenye viwanda vya sukari na kuacha udalali? Kwanza METL is the largest land owner in TZ sijui anafanyia nn ardhi yote hiyo? Anyang'anywe kama haoni umuhimu wa kuzalisha sukari ya kutosheleza nchini!
 
Back
Top Bottom