Recent content by tony25

  1. T

    DOKEZO Responded Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu

    Heading sio tattizo mkuu. Content iliyoko ndani ni kwamba awatafutie shule nyingine. Hapo ni kwamba wamefukuzwa
  2. T

    PreGE2025 Wananchi wa Jimbo la Hai wamchangia Kijana Msomi Professor Urassa fedha kwa ajili ya kuchukua fomu ya ubunge kupitia CCM 2025

    Duh vijana zaidi ya milioni moja kupata ajira ndani na nje ya nchi-umeandika ukimaanisha hawa vijana ni wa Hai. Sasa Hai ina idadi gani ya watu ukiondoa hao vijana zaidi ya milioni 1?
  3. T

    Mbowe kuandamana na Binti yake, je alimaanisha kuandamana au alikwenda akakamatwe?

    Nyie wenyewe mnadai watoto wao wako ulaya wa maskini ndio wanaondamana na kuuwawa. Sasa ameandamana na binti yake yamekuwa hayo tena!!!
  4. T

    Baada ya kusoma makala yake nikaisaka CV ya Njelu Kasaka

    Ilikuwa inaitwa Banki ya Ushirika na Maendeleo Vijijini
  5. T

    Sinema tosha mauaji ya bilionea Msuya

    Hiyo miaka Dar Express ilikuwa inaenda ila safari haikudumu kwa muda mrefu boss. Hata mimi nilisafiri nayo
  6. T

    KILIMANJARO: Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi apata ajali, avunjika mkono! Alazwa hospitali ya KCMC

    Sasa wewe unaambiwa mtu kaanguka kwenye ngazi za hoteli! Mambo ya sheria za barabarani, mwendo mkali na magari mabovu yametoka wapi? si utumie muda kidogo tu kusoma thread mpaka uimalize?
  7. T

    Imekuwaje Gorofa 1 ya TRA Chato ijengwe kwa bil 1.4 wakati Gorofa 4 UDSM zilijengwa kwa Mil 500?

    Hebu niambie carrying capacity load ya hostel ya ghorofa 4 na carrying capacity load ya ofisi ya ghorofa 1 zinaweza kuendana kweli?
  8. T

    Imekuwaje Gorofa 1 ya TRA Chato ijengwe kwa bil 1.4 wakati Gorofa 4 UDSM zilijengwa kwa Mil 500?

    Hivi kuezeka na aina hiyo ya vigae (bati) na kwa kujenga reinforced concrete slab ni ipi inakuwa gharama zaidi?
  9. T

    Imekuwaje Gorofa 1 ya TRA Chato ijengwe kwa bil 1.4 wakati Gorofa 4 UDSM zilijengwa kwa Mil 500?

    Hivi mkandarasi wa jengo ndio yeye pia anahusika na usambazaji wa thamani za ndani?
  10. T

    Diwani Ephata Nanyaro wa Levolosi Arusha - Utekelezaji wa Maendeleo

    Kweli wewe analysis yako ni finyu, ina maana umeona hayo maji yatavunwa na kutumika kwa siku moja tu ndio maana unalinganisha na chupa moja ya maji?
  11. T

    Wahitimu wa LAW School kuapishwa leo, Zawadi gani nzuri kwa mwenzi wako?

    Mbona tumezoea zawadi sana, jamani si kwa ajili ya maisha yake au?
  12. T

    CV za Wabunge: Hii inawezekana au mie sielewi mifumo ya Elimu ya Tanzania?

    Sasa hii nayo kali, MBA baada tu ya Form Six, there after CPA-Diploma, inatisha kwa kweli.
  13. T

    Hivi Nakaaya Sumari yupo CCM au yupo wapi?

    Taarifa nilizonazo kwa mara ya mwisho 2011 alikuwa Manager wa Arusha Gymkhana chini ya Boby, kwa sasa sijui kama bado yupo au la!
  14. T

    Joshua Nassari adanganya "live" ITV

    Sasa wewe unatuambia kuwa amedanganya, wakati kwenye jedwali lako halisemi hiyo taarifa ni ya mwaka gani. kwako ina maana yesterday ni lazima iwe jana. Hebu tupe time range ya hiyo study.
  15. T

    Picha: Mama pinda ala nondozzzz

    mkoni pwani ni wapi tena huko? na ndiyo makao makuu ya OUT? Na hapa ni wapi? Contact Us General Address: The Open University of Tanzania, Kawawa Road, Kinondoni Municipality, P.O. Box 23409, Dar Es Salaam, Tanzania. Fax: +255 (0) 22-2668759. Telephone: +255 (0) 22-2668992, +255 (0)...
Back
Top Bottom