Recent content by Tony2013

  1. T

    S0NY WEGA live bila chenga

    Pole ndo maisha lakin ndo faida na hasara ya mapenzi,ifanye sehemu ya historia na wengine tujifunze,si kila king'aacho ni dhahabu.
  2. T

    Rafiki wa Kike Umri Miaka 30 - 40

    Yaan lengo limepotezwaaaa,mpaka maana imekosa tutafika kweli wana JF?
  3. T

    TANZIA: Bwana ametwaa - Jina lake lihimidiwe

    Pole Miss strong,hakika sisi ni mavumbi tutarudi mavumbini!
  4. T

    Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

    Hellow girls&women niwakati wenu kuutuliza huu moyo ulio mpweke kama uko tayar tuwasiliane namaanisha natafuta mke,mimi ni na miaka 38,umbo la watan nina kilo 70,maji ya kunde,nina watoto wawili,so naitaji alie tayar hata kama ana mtoto nayeye gap liko wazi tuwasiliane aniPM.
  5. T

    RC, RPC na RSO Morogoro mjiangalie

    Hii gov utaumiza kichwa chako bure,unakuta wamevaa miwani kumbe ya mbao,ukiona limebumbuluka ujue kuna maslahi wametofautiana ki maslahi wakaunguzana,chezea bongo wewe.
  6. T

    Mpenzi wangu akivaa kondom dushelele linalala

    Atii?kupiga puli?he he,acha kabisa kupiga masta na kuangalia porno utaimproove!
  7. T

    Nahitaji mume mwema jamani

    Usikatishwe tamaa na text zingine dada hebu ni PM,tutoke faragha najua kama ipo ipo tu.
  8. T

    Huyu anatafuta a very decent mkaka.

    Dadae nimekusoma vzuuur,ni PM tu uone kuwa kuna wengine tuko serious.
  9. T

    Natafuta mume

    Hey,jaman mbona watz tunakua hivyo?huyu dada anatafuta faraja au tulizo la moyo wake ss tunamkatisha tamaa,laiti ungekuwa ww ungejisikiaje?ana haki ya kikatiba kutoa maoni yake kama halikuhusu achana nalo,eboo acheni hizo bhana,wapo nini maana ya utandawazi?dada hebu ni PM achana na wasioelewa...
  10. T

    Kwa hali hii, bado changudoa wana umuhimu katika jamii

    Ebwaeeeee!hilo nalo neno hako kabiashara kaharalishwe tu mbona kapo na watu wazitowazito nao wamo?kina dada jitambueni kaajira kadogo hako chuna kadri uwezavyo!
  11. T

    MWANANGU usisahau kuiba ukiolewa,wanaume hawaamiki.

    Mh sijui tunaelekea wapi,kama ni dereva gar ishamshinda inaelekea bonden,hayo sio maadili ya kitz,bint changanya na za mbayuwayu!
  12. T

    I NEED A NON SEX partner

    Mh hebu ni PM,hii kesi kwangu ni ngeni kabisa jarbu uone usikate tamaa.
Back
Top Bottom