Choo cha public kipo mbali sana. Jaribu hapo kwenye hicho chumba ambacho ni self contained, hicho choo chake ndio kiwe public halafu self contained room kiwe kile kingine huko mwishoni.
Halafu sijaona sababu ya kuweka mlango hapo ulipopaita walkway.
Halafu chora kwenye hiyo AutoCAD kabisa kwa...
1. Hakuna ulazima wa kuweka mlango kati ya dining na kitchen
2. Mlango wa Public toilet ingekua mwanzoni hapo ingekua poa zaidi.
3. Very long corridor ni wastage of space.
4. Ingekuwepo opening kati ya corridor na sitting room ingependeza
5. Mlango wa kitchen na lounge ifungukie nje...
Mkuu nokia 6.1 plus zina shida ya system charge especially kwenye charging port na zinasumbua kweli. Nimeshaizika yangu mkuu. Kama unataka simu ya Nokia nakushauri tafuta nyingine sio hiyo 6.1 plus na usome reviews za watu wengi mtandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.