Recent content by Toni 1

  1. T

    Namchukia sana mume wangu kwa sababu ya wivu wake..

    Mmmmm!!!! Madam yamkini ni kweli au si kweli anaomba ushauli afanyeje?
  2. T

    Natafuta kiwanja cha kununua

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  3. T

    Msaada: Nipo Dar es salaam jamani

    Nataman nifike kwa Mch. Antony Lusekelo mzee wa upako
  4. T

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Wanawake wenye hekima utawatambua tu. Ikiwa ataufanyia kazi huu ushauli ATAPONA
  5. T

    Nahitaji kazi yoyote mkoani Moshi, mambo magumu kwangu

    Nyie msaidieni mwenzenu naona maswali mengi wakati umeelewa alichokiandika
  6. T

    Natafuta kiwanja cha kununua

    Vizuri sana ila ungetafuta madalali ungekipata haraka sana
  7. T

    Rais wa chama cha waendesha bodaboda Iringa anamtaka mke wangu

    Mwambie tu ukweli ukizidi kukaa kimya utakuta ngedele amemaliza shamba
  8. T

    Asilimia 80 ya wanawake na ukiangalia 99 ya wanaume kwa tendo la ndoa wanapishana Katika Kuenjoy.

    Etiii nyie akina Dada ni kweli anavyosema huu jamaa au anawasingizia tu
  9. T

    Jovin Kwanini unataka kumfukuzisha mume wangu kazini?

    Pole sana Dada yangu kwa yanayowasibu ila Mungu ni mwema sana hatawaacha muaibike
  10. T

    Wanawake Msiseme Mnaonewa, Njooni Muone Tofauti

    Wajibu wa mwanaume ni kumtimizia mwànamke mahitaji yote
  11. T

    Ubinafsi: Kati ya mwanaume na mwanamke ni nani mbinafsi zaidi?

    Ubinafsi ni mtu mwenyewe sio wanawake tu hata sisi wanaume wapi ambao ni mabingwa kwa ubinafsi
  12. T

    Rais Magufuli amteua Ndg. Charles E. Kichere kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA

    Na yeye awe lakini asije akachongewa
Back
Top Bottom