Simba ilicheza semi-final ya African cup of champions clubs now caf champions league na Ghazl El Mahalla mwaka 1974 Dar Simba 1-0 Ghazl El mahalla.... Egypt Ghazl 1-0 Simba ....Simba akatolewa kwa penati 3 sifuri
Nimeamini yanga ina mashabiki wapumbavu sana mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali na Ghazl El Mahalla ya misri wakati huo ikiitwa African champions of cubs now ndo caf champions league
Wakuu mnaendeleaje na majukumu ya ujenzi wa Taifa?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kuwa huyu kiumbe muda sometymz ni ngumu kinoma noma, basi bana kunaye demu mmoja hivi tulianza kama marafiki af badaye nikaja kumuelekeza ni jinsi gani namuelewa kimapenzi ikiwemo uzuri wake na nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.