Recent content by tompoo

  1. tompoo

    1998 Mara ya kwanza Kwa timu ya Tanzania kucheza group stage

    Simba ilicheza semi-final ya African cup of champions clubs now caf champions league na Ghazl El Mahalla mwaka 1974 Dar Simba 1-0 Ghazl El mahalla.... Egypt Ghazl 1-0 Simba ....Simba akatolewa kwa penati 3 sifuri
  2. tompoo

    1998 Mara ya kwanza Kwa timu ya Tanzania kucheza group stage

    Nimeamini yanga ina mashabiki wapumbavu sana mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali na Ghazl El Mahalla ya misri wakati huo ikiitwa African champions of cubs now ndo caf champions league
  3. tompoo

    Mlio karibu na msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) muamsheni kutoka usingizini

    Ahmeid awadanganye wapumbavu siye watu wa mpira tushaanza kuchukua tahadhari mapema
  4. tompoo

    UEFA: Real Madrid, Villarreal zaingia nusu fainali, Chelsea, Bayern hoi

    City atabeba ubingwa mwaka huu
  5. tompoo

    Kumuelewa huyu Mwanamke ni ngumu sana...

    Wakuu mnaendeleaje na majukumu ya ujenzi wa Taifa? Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kuwa huyu kiumbe muda sometymz ni ngumu kinoma noma, basi bana kunaye demu mmoja hivi tulianza kama marafiki af badaye nikaja kumuelekeza ni jinsi gani namuelewa kimapenzi ikiwemo uzuri wake na nini...
  6. tompoo

    Visa vya mapenzi visivyosahaulika

    [emoji23][emoji23]
  7. tompoo

    Procedure za kuomba ruhusa ya kwenda kujiendeleza kielimu

    Kajifunze kuandika vzr kwnz, baruhii nd nn sasa
Back
Top Bottom