*Na TUNDU LISSU*
Pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii hazitajenga kiwanda chochote. Ni siasa tu. Pesa za mifuko ya hifadhi ya umma sio pesa za serikali, ni pesa za wafanyakazi. Zinatokana na makato yao ya mishahara. Serikali imekuwa inatumia pesa hizi kama zake, wakati sio zake. Pesa hizo...
Kufuaatia sintofaham inayoendelea nchini juu ya polisi kuuawa kizembe na majambazi huku wenyewe wakijiandaa kuua raia wanaodhamiria kutimiza takwa la kikatiba kuhusu maandamano na mikutano sept 1 kwa jina la ukuta; Haya ndio maoni yangu binafsi juu ya swala hili..
Na kwa kuanzia; nimejielekeza...
Rais wangu Mh. Magufuli nakuomba ujikumbushe maneno Haya, sina hakika sana kama ulisoma Uongozi ila hata washauri wako wanapaswa kukukumbusha kuwa Uongozi,
> Sio kutoa Matamko yasiyozingatia masilahi ya Taifa (ya hovyo hovyo).
> Uongozi sio kukaripia watu ili uonekane Rais.
> Uongozi sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.