Hivi umefuatilia mwanzo mpaka mwisho wa matamshi ya wazir mkuu?au wewe mtoto wa waziri nini?tuache kukaa na kusubir kila kitu kufanyanyiwa kama wazir wa Maliasili alishalijua hili na akanyamaza kimya wewe unasema hakuna utaratibu wa kukabidhiana idad ya wanyama..hao faru miaka nenda miaka rudi...
Ni aibu kubwa sana yaan Yule dada anajidhalilisha...lakin hata mkulu aliahid zile kesi za kodi zikiisha mapema judge mkuu atapewa fungu..na akawa mfano pia kwa polisi wa barabaran akawapa hela ya ku brush Viatu we unategemea nini apo!!! Wonders shall never end bhana
Kwenye utalii siku hizi ni full dili tu ..ukienda Kilimanjaro guides wanauziwa mountain id( lesen) bila kufanya trainee tena na mtu mkubwa tu wapi uadilifu wa hili shirika kijazi na maghembe wao kiguu na njia tu hawana jipya
Ndo maana mpira Wetu haukui mnaibeba tim sio kwamba mnaisaidia Bali mnaua mpira wakienda mechi za kimataifa wanafungwa kwa sababu hakuna mbeleko!! Yaan ni aibu kwa maamuz kama yale
Kumekuwa na tatizo la wizi ndan ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro ndan ya wizi huo mara nyingi wamekuwa wakisukumiwa waongozaji watalii(guides) ili hali wahusuka wakuu wamekuwa na wafanya usafi(cleaner) wakishirikiana na askari(rangers) juzi kampun moja ya Arusha mgen wao aliibiwa fedha katika...
Hata ukiwa na kichinjio haisaidii maana wao ndo wenye tume,majeshi watamuweka wanaemtaka na wembe ni ule ule..cha msingi tuamke tuache kulalamika na kulalama!!bila kuwa na sauti moja tutachezeshwa gwaride sana tu,ifike mahali tuseme basi inatosha kama mbwai na iwe mbwai(ukuta)
Fisiem bhana !! Kupitisha wapitishe wao Leo kinawauma.. Ni sawa na sasa hv wanavyotaka kupitisha muswada wa habar wakizan wanawakomoa upinzan ngoje huko mbelen watoke madarakan uone povu litavyowatoka.. Wahead kbs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.