Mkuu Mohamed Said.
Nafikiri mtoa mada anazungumzia "kulia lia" kutokana na kusoma baadhi ya mabandiko yako huku jukwaani na kupitia mahojiano yako kadhaa hasa hiyo idhaa ya DW!
Je ni kweli kwamba mtizamo wako bado ni huo kwamba waislam wanabaguliwa?
Nashukuru wakuu!
Nimegundua kosa lilifanyika
Mtumaji alikosea namba moja
Ujumbe niliopata ni direct kutoka kwenye Email maana Email ilikua sahihi ila namba alikosea naendelea kuwasiliana na voda haka kahela kasikukuu kasipotee. Ila nawashukuru JF ni msaada
Kwema?
Nimepokea pesa kidogo kutoka kwa rafiki yangu nje ya nchi na kwa sababu PayPal haipokei pesa Tanzania nikamuomba anitumie kupitia Worldremit.
Tayari kanitumia tangu saa sita mchana na sasa ni saa kumi na nusu na nimepata Sms hiyo (Screenshot)ila salio kwenye MPESA hakuna kilichoongezeka...
Watoto wa Chetezo na ubani altareni wamekua watu wa Pombe tu siku hizi.
Vijana wa Shirika la Mtakatifu Aloyce na Vijana walezi wa Don Bosco wengi wao watu wa mademu tuu.
Au sababu ya ule mvinyo altareni?
Au sababu wakati wa Sherehe za Somo wa Jumuiya Baada ya Misa tunamuona Baba Paroko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.