Recent content by Tochinoshin

  1. T

    JamiiForums Tanzania Legend na fashion icon Giorgio Armani afariki dunia akiwa na umri wa miaka 91

    The Cannes hufanywa Italia????!!!..... jamaniiiiiiii...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    Jambo ambalo hujaambiwa lisikiutie presha kausha, mchune Tena mchune kweli kweli ujijenge uwekw sawa ishue za wanao....kaa kimya utayajua mengi. Akili kumkichwa
  3. T

    JamiiForums Tanzania Je TV TUMAINI ya Kanisa Katoliki nayo imekumbwa na Ithibati?

    Umeona eeh Kuna maskuli, hospitali, vyuo, etc etc wafunge navyo!
  4. T

    JamiiForums Tanzania WHO wathibitisha pombe ni sumu. Sasa nina ujasiri wa kusema: "kunywa pombe bila kulewa ni dhambi."

    Haya Acha nitubu....ila nikiingia mbinguni ntamwambia Jizaz atubadilishie maji yawe divai! Tunaendelea tulipoishia..
  5. T

    JamiiForums Tanzania WHO wathibitisha pombe ni sumu. Sasa nina ujasiri wa kusema: "kunywa pombe bila kulewa ni dhambi."

    Asante Kwa majibu ya kisomi! Nimeshiba hapa acha nipate glass ya wine...nichill...saafi
  6. T

    JamiiForums Tanzania Jose Mla vichwa ni hatari.

    Hahaha nyama ya chatu tamu sana Sema Nini ulaji wa viumbe vingine bana...mtu mwenyewe aridhie Tusilazimishane! Kila moja ajichagulie anachotaka! Mfano me uduvi nakula huku udenda unadondoka ila senene....pyu siwezi kbs!
  7. T

    JamiiForums Tanzania Usioe au kukaa na binti bila kumpiga radar wengi ni mapilot na wachawi sugu

    Kunao hao makomando wa air force na kuna washirikina....yaani kiiila kitu mpk Mganga atoe approval..... Kazi sana yaani
  8. T

    JamiiForums Tanzania WHO wathibitisha pombe ni sumu. Sasa nina ujasiri wa kusema: "kunywa pombe bila kulewa ni dhambi."

    Ndugu, ukiacha pombe ambayo ni kiburudiaho pendwa kama kina sumu, kuna vitu vingi sana unavyotumia deile ni carcinogenic.....deile kuna kakitu unakaingiza mwilini ambako ni sumu ila hujui....anzia mboga mboga, rangi za kucha, sabuni antibacterial, unazooshea vombo....bado hujaja kwenye kuvuta...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika tambi za dengu

    Ungeweka na tui kdg maana dengu za Nazi huwa tam sana kama ulivyo wali wa nazi
  10. T

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika tambi za dengu

    Kwa nini unaomgeza unga wa mchele?
  11. T

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akishiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa, Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe

    Mpaka Sasa ligi hii msimamo upo vipi wakuu? Au tusubirisubiri mpk November ligi ikiisha?
  12. T

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 'single mama' kizazi cha Leo kisicho na malezi

    Ni sawa singo mama..... Ila Mimi nasshuhudua mmomonyoko wa maadili wa watoto wawili tofauti waluolelewa na singo faza Tena wenye maisha mazuri TU! Leo wanatambulishwa kwa mama huyu kesho mama yule.....alimradi tafrani TU. So nahitimisha kwamba singo parenting (singo maza, singo faza)...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Tusaidiane recipe nzuri ya nyama choma, viungo na namna ya kuichoma iwe tamu na laini

    Pia kimsingi nliwahi ambiwa kuwa sio sehem zote za mnyama zinafaa kwa kuchoma, sababu zingine huwa na nyama ngumu kuiva kwa grilling!
Back
Top Bottom