Jose Mla vichwa ni hatari.

Jose Mla vichwa ni hatari.

Wasiomla kambale ni wasabato na sio waislamu.

Mbali na kambale ,hawamli pia ngamia.
Usolazomisha sheria za kutomla nguruwe, mnyama asiwe na kwato, asie cheua na samaki asie na magamba ni sheria zolizo kwenye ukurasa mmoja wa agan9 la kale. Kwa hio muislam anatumia shrria hani kumla kambale na kutomla nyoka?
Hizo ni sheria za musa.
 
Dah huyu jamaa anakula almost kila kiumbe kinachopita mbele yake, iwe chatu, paka, panya, kenge nk

Japo asilimia kubwa video nyingi anapost anakula kenge na panya.

Anakuja kwa kasi sana kwa sasa naona ameshaanza kupata wafuasi kadhaa, ule uoga na kinyaa cha watu kula panya umeanza kuondoka taratibu taratibu na kuona ni msosi wa kawaida.

Kula panya sio big issue sana maana hata wamakonde wanakula tangu enzi na enzi, ila ulaji wa kenge, paka, chatu aisee unashtusha sana.

Kenge wengi wanamuogopa kutokana na kusifika kuwa na sumu kali ila jamaa naona hajàli hilo yeye anatafuna tu kwa kwenda mbele.

Aangaliwe kwa makini huyu asije akatuletea magonjwa ya hovyo , hiyo kula kula yake itaponza jamii kama wale watu wa kongo wanavyoongoza kuwa na magonjwa mengi hatarishi kutokana na ulaji wao wa kila kiumbe kinachopita mbele yao.

View attachment 3404289
Angeletwa CCM ale vichwa kadhaa pale...//.
 
Sema tu nyama ya kenge inaongeza nguvu za kiume uone mapori yatakavyofwekwa kutafuta kenge...Sasa watu wanakula yale madudu Pweza inakuwaje kuhusu kenge au panya?
 
Tatizo la wanyama wala nyama kama kenge na nyoka ni kuwa na magonjwa mengi sana. Ila nyama ni nyama.
 
Kila mtu ashinde mechi zake aisee haya mambo ni makubwa
 
Back
Top Bottom