Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola, heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo cha ufuta, mahindi, jamii ya mikunde, mihogo, matikiti kwa kuwa maji yapo karibu Sana.
Sababu za...