Uko vizuri mkuu..kuna wimbo wa university corner siukumbuki jina ila baadhi ya lyrics ni "university corner we represent, wanaotusema and who says no...." kama umeupata naomba jina lake mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah kwenye movie inaonekana sana, nimeichek pia kwenye Quantico pale Perish alipokosa mtu yeyote wa kumwamini katika FBI akaamua kujielekeza huko kwenye dark web
Fedha kukaa kwenye fixed akaunti ni sawa, taasisi za kibenki hutumia fedha hizo kuzikopesha kampuni zinazofanya uwekezaji wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali za kibiashara na hvyo kukuza uchumi
Kwa hyo waziri hawajibiki kwa bunge? Iweje wakati wa oparesheni tokomeza mawaziri waliwajibika kwa bunge bila kusubiri uamuzi wa mamlaka ya uteuzi wao? Au hizi sheria zikoje? Tundu Lissu nisaidie kwa hili tafadhari mimi ni bush lawyer kama makinda
Tatizo mfipa mwenzako ulokole umezidi anafikiri pengine uo ulokole utamsaidia kuleta umeme na maji Inyonga au pale kwake Kibaoni au kumjengea lami Inyonga to Mpanda. Namshauri awe bepari tu kama mawaziri wa kaskazini yaani nyumbani kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.