Wakuu hali yangu imekua ngumu kidogo.Naomba kujuzwa wenyeji wa mikoa ifuatayo kama naweza pata chumba cha umeme cha bei rahisi.
BAGAMAYO
MAFIA
PWANI
LINDI
Chumba cha umeme cha bei nafuu kabisa nitapata kwa sh ngapi.
Nataka nibadili Kambi ya utafutaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu tuna kikundi chetu cha watu 15,tunataka kuanzisha vicoba.
Tunashida na mtaalamu wa suala hili ambae atatusaidia taratibu zote ikiwamo
1)Usajili wa kikundi
2)Uandishi wa katiba
3)Semina elekezi
Kwa yeyote alietayari kufanikisha kazi zote hizo apo kwa gharama nafuu ,anitumie mchanganuo...
Wakuu kwa yeyote ambae ana smart ambayo bado IPO kwenye hali nzuri.
Napenda iwe bado mpya,kuna MTU nimemuahidi kumnunulia simu mpya lakini bajeti yangu imeishia hapo.
Bajeti:100,000/=
Nipo Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.