Tizeba
Member
- Aug 17, 2017
- 12
- 5
Wakuu tuna kikundi chetu cha watu 15,tunataka kuanzisha vicoba.
Tunashida na mtaalamu wa suala hili ambae atatusaidia taratibu zote ikiwamo
1)Usajili wa kikundi
2)Uandishi wa katiba
3)Semina elekezi
Kwa yeyote alietayari kufanikisha kazi zote hizo apo kwa gharama nafuu ,anitumie mchanganuo wa gharama kupitia,
Willbroad47@gmail.com[/USER]
Tupo, Dar es Salaam.
Tunashida na mtaalamu wa suala hili ambae atatusaidia taratibu zote ikiwamo
1)Usajili wa kikundi
2)Uandishi wa katiba
3)Semina elekezi
Kwa yeyote alietayari kufanikisha kazi zote hizo apo kwa gharama nafuu ,anitumie mchanganuo wa gharama kupitia,
Willbroad47@gmail.com[/USER]
Tupo, Dar es Salaam.