Recent content by titusrub

  1. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Niunge ktk huu uzi wa old is gold 0715251252
  2. T

    Watu wangu wa r&b hizi hapa nyingine burudika nazo

    Tuwekee zile za 90,-80,wanaita mahouse,
  3. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Naomba uni add kwa namba hii ktk WhatsApp,0715251252
  4. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Mkuu salaam,nilivamiwa na vibaka wakachukua cm zote na vitu vingine,sasa naomba tena ule wimbo wa (mchaka mchaka mkimbilie Yesu)
  5. T

    Kama una moyo mwepesi usisome story hii, wengi wamelia sana

    Haijalishi ni ya zamani, tunachoangaria ni fundisho kwa wanandoa, ni story yenye mafunzo sana,kwa kweli kuachana c mpango waa Mungu. Nimeipenda safi sana.
  6. T

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Kijana wangu ana four ya 33, yaani ana d mbili ya english, na kiswahili, nataka arudie form three mnasemaje wadau, naomba ushauri
  7. T

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Naomba msaada, naweza kumsaidia kwa lipi huyu kijana
  8. T

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Atasomea nn huyo kwao point zake hizo, msaada jamani,
  9. T

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Atasomea nn huyu jamani kwao point zake hizo
  10. T

    Maalumu kwa ushauri wa kombination inayofaa kwenda nayo Form five

    Naomba msaada wa namba hii s 4054/0030, ilulu girls sec school
  11. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Bado mkuu,labda nitumie ktk Watsapp 0782251252
  12. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Lakini mkuu bado hujatuma huo wimbo wa mchakamchaka
  13. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Mkuu bado cjaona ule wimbo mchaka mchaka mkimbilie Yesu,
  14. T

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Dah jamani hadi raha mi naomba wimbo,uliopigwa na kinondoni unaosema Mchaka mchaka mkimbilie yesu
Back
Top Bottom