Recent content by Titus Benasius

  1. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Mbowe achia chama kwa vijana wakijenge la sivyo 2020 yatawakuta makubwa CHADEMA

    Mbona hujamshauri mwenyekiti wa lumumba ajiuzulu? Maana ata yy baadhi ya viongozi wake wamejiuzulu
  2. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Karibu tushirikiane kuendesha NGO's

    Upo mkoa gani??
  3. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Karibu tushirikiane kuendesha NGO's

    Wazo zuri sana mkuu! Nitakutafuta kesho! titusbeny@gmail.com
  4. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania TANZIA: MwanaJF Slim5 amefiwa na baba yake mzazi

    Pole sana ndugu hiyo ni njia ya kila mmoja wetu
  5. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aamuru Madaktari walioomba kufanya kazi Kenya waajiriwe nchini mara moja

    Haahaa! Hapo tu ata ucpokua na hiyo 7m tunajua umesema nn kimoyomoyo
  6. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    Kwani suala la timu kunyang'anywa points kwa makosa yao yanafanyika Tanzania pekee?? Mbona hizi ni sheria za Fifa na zinatumiwa na nchi zote wanachama wa Fifa! Mcpende kuwachagulia TFF adhabu za kutoa wakati sheria na taratibu zipo wazi!
  7. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Kashifa za Trump USA sawa na Lowassa kwa Tanzania?

    Una uhakika gani upinzani hawawezi kushinda uchaguzi??
  8. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Magufuli apitishwa na Halmashauri Kuu kugombea uenyekiti

    Ulinzi ulipo dodoma wa askari police kwann wasitoe ulinzi wa aina hiyo kwa vyama vyote kama wanaamini vurugu zitatokea na cyo kusitisha mikutano yote ya vyama vya upinzani??
  9. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Uholanzi kufunga Magereza 19 kwa ukosefu wa wafungwa

    Waje waazime wafungwa huku bongo maana wapo wengi sana hadi wasiyo na makosa
  10. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Kwanini Sumaye asishitakiwe kwa mauaji ya Mwembe Chai na Pemba?

    Kama mkapa alikua nje amri jeshi ni nani kama c yy? Rais ata awe nje kila kinachofanyika nchini lazima amri itoke kwake
  11. Titus Benasius

    JamiiForums Tanzania Sababu kubwa iliyomnyima Lowassa Urais wa Tanzania !

    Mbona Dr slaa alikua mzungumzaji mzuri lkn aliukosa urais? Sema ni mfumo mmbovu tuliyonayo ndo ina wa-favour ccm
Back
Top Bottom