1.Wizara ya Afrika Mashariki iunganishwe na Wizara ya Mambo ya nje.
2.Wizara ya ardhi iunganishwe na Wizara ya ujenzi
3 . Wizara ya Mambo ya ndani iunganishwe na Wizara ya ulinzi na usalama
Sifa mojawapo ya kiongozi bora ni kufanya maamuzi sahihi,kwa wakati sahihi na kwa kufuata taratibu na hatua sahihi zilizowekwa kwa mujibu wa sheria. Kiongozi anayefanya maamuzi sahihi,kwa wakati sahihi lakini hafuati taratibu na hatua sahihi zilizowekwa kwa mujibu wa sheria,huyo hafai kuwa...
Hapana chezea hiyo kitu! Msimu huu jamaa upepo umewakalia vibaya xana kila safu wanayoipanga wanadream kushindwa tu. Ngoja kesho pale Jangwani wajionee TSUNAMI alafu wajilinganishe na mafuriko yao ya juzi yale.
Taswira inaonesha kama vile Mh Dr Seif kapigwa chini kwa kura nyingi tu,lkn analazimisha kushinda. Sijui lengo ni kutetea wadhifa aliokuwa nao!? Mbona kuna wenzake wamekubali matokeo mf.Mh Mathias Chikawe(Waziri-mambo ya ndani), Mh Dr Titus Kamani(Waziri-mifugo na uvuvi) n.k. Basi mm naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.